Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
- Thread starter
-
- #581
Vingine hivi hapa:Naomba kama una notes presentation na vitabu vya philosophy. Diploma na degree
Asante. Sana. Vya dokta mihanjo nimetafuta nimekosa. Nimewai wasiliana naye lakini sikufanikiwa.Mkuu. Kwa vile hukusema unataka vitabu gani hasa vya Falsafa. Hivi hapa baadhi. Hiki cha kwanza (The Norton Introduction to Philosophy) kinatumika katika vyuo vikuu vingi kwa kozi za mwanzo mwanzo. Nitazidi kukuwekea kwa kadri ninavyovipata. Jaribu pia kutafuta vya Dr. Mihanjo vilivyoandikwa kwa Kiswahili. Ubarikiwe.
Shukrani sana. Wapi naweza Pata hivyo vya Adolf .Vingine hivi hapa:
Philosophy 101
30-Seconds Philosophy
The Philosophy Book
The Story of Philosophy
Fanya kweli kamandaChange ni sisi
Nitatupia kadri nitakapo pata nafasi
Hata sijui aisee. Mimi nilinunua hiki na chenzake kimoja ofisini kwake UDSM. Sasa hata sijui yuko wapi.Shukrani sana. Wapi naweza Pata hivyo vya Adolf .
Vingine hivi hapa viwili. Kimoja (An Introduction to Philosophy) kinatumiwa vyuoni.Naomba kama una notes presentation na vitabu vya philosophy. Diploma na degree
Asee hivi mimi sina kabisa. Labda msamaria mwema mwingine akiwa navyo atakusaidia.Uzi mzuri Sanaa
Naomba soft copy ya vitabu vya Tanzania Institute of Education (TIE) wakuu kwa primary schools English medium
Natanguliza shukrani
Mkuu SHIMBA YA BUYENZE shukran sana kwa msaada wako wa kututemea madini but ningeomba unisaidie PDF za masomo ya A LEVEL Kam HKL kwan natarajia kurudi Dasani japo ntasoma kama private au kwa yeyote alonazo hasa zinazofundishwa kwenye mashule ya privateNitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani
Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati
[emoji3591][emoji3591][emoji3591]
Mods please msiunganishe uzi huu na nyuzi zingine za vitabu.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya vitabu vya shuleni na vyuoni tu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Asante mkuu. Ukipitia huko juu kuna notisi za Historia za Kidato cha 5 na 6 zimewekwa. Na za Kiswahili pia. Mimi nitakuongezea zingine japo kwa sasa niko bize kidogo. Nikisahau nikumbushe.Mkuu SHIMBA YA BUYENZE shukran sana kwa msaada wako wa kututemea madini but ningeomba unisaidie PDF za masomo ya A LEVEL Kam HKL kwan natarajia kurudi Dasani japo ntasoma kama private au kwa yeyote alonazo hasa zinazofundishwa kwenye mashule ya private
Asante mkuu. Kama una vitabu huko au notisi warushie madogo hapa [emoji1545][emoji1545]Uzi murua alafu unaishi
Jisikie huru ndugu yangu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Bonge la Uzi pia ntakuwa nashare past papaers za Mock form two na form four.