zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
vipimo vya mizani ya nyama au? Naunga mkono serikali kusitisha,kwa sababu pesa zinapotea ovyo
Dawa iko 2015.
Edward Lowassa ataibuka mshindi
kwa kiingereza hiyo kozi inaitwaje?
Edward Lowassa ataibuka mshindi
Dawa iko 2015.
Mtu alikua anaingiza 150M per day kwa uchochoro leo unampa Funguo Ya Hazina ya Taifa!! Atachota ngapi????.
Think twice kijana Vema yako moja ni muhimu Sana 2015 usije ukaijutia Daima.
hivi ww kijana umekuwa CAG wa Lowassa kuanzia lini au wamekudanganya wapuuzi ambao wana majungu tu,sasa upende au usipende lazima Lowassa ataibuka mshindi hata kama wewe ni mjumbe wa NEC
hivi ww kijana umekuwa CAG wa Lowassa kuanzia lini au wamekudanganya wapuuzi ambao wana majungu tu,sasa upende au usipende lazima Lowassa ataibuka mshindi hata kama wewe ni mjumbe wa NEC
imeanza kuchemshwa au bado
Nahisi una undugu na huyo Lowa.s.a maana unavyomtetea tu inadhihirisha.
Sitaki kuamini kama kuna vijana kama wewe bado wanasapoti ufisadi nchini.
Jitambue.
Serukamba at work.
mm najitambua sana kuliko unavyofikiria ww,nakwambia tuombe mungu atupe uzima mpaka 2013,tutaona nani ataibuka mbabe
Mtu wako atashinda 2013 kama ulivyoandika ila si 2015!
mm najitambua sana kuliko unavyofikiria ww,nakwambia tuombe mungu atupe uzima mpaka 2013,tutaona nani ataibuka mbabe