zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Ikiwa takribani miezi 10 imepita baada ya wizara ya viwanda na biashara kufuta udhamini wa wanafunzi wa vipimo cbe waliokuwa wanawadhamini.Na kuambiwa waombe bodi ya mikopo,wote wamekosa...na wameshauriwa kama watakosa ada wahairishe kusoma.
Serikali ijiandae tena kukosa wataalamu wa vipimo.
Hii ndio Tz.
Serikali ijiandae tena kukosa wataalamu wa vipimo.
Hii ndio Tz.