Wamesha jifungua 20๐๐๐๐Safi sana, ila wanatakiwa kuwa makini, ipo siku mwanafunzi anaweza kujifungulia chumba cha mtihani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamesha jifungua 20๐๐๐๐Safi sana, ila wanatakiwa kuwa makini, ipo siku mwanafunzi anaweza kujifungulia chumba cha mtihani...
Huo ni ujinga. Hatuwezi kutoa pesa za bure kusomesha wazazi...Kama chilazima tuwe na msimamo...tukiacha ushabiki (uzalendo uchwara) kenya wanatuzidi sana namna ya kufikiri na kukabiliana na matatizo (kwa viongozi wenye dhamana)
kwa wananchi wa kawaida wanatuzidi wizi ila kwa ujanja wa kijinga tuko vyema.
Kumbe upo Kajiado๐๐๐คฃJombaa, mwanafunzi wa kidato cha pili Tz akija Kenya huwa anarudishwa hadi darasa la sita, wa kidato cha kwanza, darasa la tano. Wapo wengi mashuleni kule kwetu Kajiado County. Uliza mtz yeyote ambaye amesomea Kenya, shule ya msingi au sekondari, akiwa mkweli atakueleza tu.
Says who? Not in Kenya. Wamefanya mitihani wao na baadaye wataitwa mashuleni. Hivi 'minor', mtoto ambaye hajafikasha miaka kumi na nane ana uwezo wa kufanya maamuzi ya kweli kwamba anataka awe mjamzito? Si ni vijizee kama nyinyi ndio huwa mnawahadaa bila aibu ili mfaidi baada ya kushindwa kuwatongoza maslay queen? [emoji1] Alafu ukimnyima mama elimu ndio utakuwa umemhukumu mtoto asiye na hatia, maanake bila elimu umasikini huwa unabisha mlangoni.Sometimes I wonder why these activists dont critisize china when it had a one child policy, any child born after the first child was not eligible for public school education or any public amenities like hospitals..And this worked very well, it detered population explotion and unnecesary dependency..
SO YES LET THOSE WHO WANT TO BEAR CHILDREN WHEN THEY ARE SCHOOLING NOT BENEFIT FROM FREE SECONDARY EDUCATION.
Tatizo hawatakua wamekidhi elimu ya Kikenya, watapata tabu, bora muendelee kujazana huko bila elimu.....maisha ya kibongobongo.
Safi sana Kenya.
Serikali ya Kenya ina human face.
Huku kwetu Tanzania mtoto akibakwa na kupata mimba anapewa adhabu ya kukosa elimu katika maisha yake yote anaishia kuwa omba-omba mtaani na wakati mwingine wanavuka boda na kuja kuomba-omba huko Kenya.
Shida ni wakijazana huko LDC itawalazimu wahamie huku na vilema wao.Tatizo hawatakua wamekidhi elimu ya Kikenya, watapata tabu, bora muendelee kujazana huko bila elimu.....maisha ya kibongobongo.
Sipo Kajiado kwa sasa ila kule ndio kwetu kabisa. Certified savannah boy, through and through! Toning'o long'ui? Erooo kae moda ninye, umeuliza kwanini? Kwasababu kama sio mradi ama biashara, nani tembea!Kumbe upo Kajiado
Safi sana Kenya.
Serikali ya Kenya ina human face.
Huku kwetu Tanzania mtoto akibakwa na kupata mimba anapewa adhabu ya kukosa elimu katika maisha yake yote anaishia kuwa omba-omba mtaani na wakati mwingine wanavuka boda na kuja kuomba-omba huko Kenya.
Says who? Not in Kenya. Wamefanya mitihani wao na baadaye wataitwa mashuleni. Hivi 'minor', mtoto ambaye hajafikasha miaka kumi na nane ana uwezo wa kufanya maamuzi ya kweli kwamba anataka awe mjamzito? Si ni vijizee kama nyinyi ndio huwa mnawahadaa bila aibu ili mfaidi baada ya kushindwa kuwatongoza maslay queen? [emoji1] Alafu ukimnyima mama elimu ndio utakuwa umemhukumu mtoto asiye na hatia, maanake bila elimu umasikini huwa unabisha mlangoni.
Sipo Kajiado kwa sasa ila kule ndio kwetu kabisa. Certified savannah boy, through and through! Toning'o long'ui? Erooo kae moda ninye, umeuliza kwanini? Kwasababu kama sio mradi ama biashara, nani tembea!
Tuonueshe location ya GPS yako tu hakiki๐๐๐๐Kama haupo Kajiado nahama JF๐๐๐Sipo Kajiado kwa sasa ila kule ndio kwetu kabisa. Certified savannah boy, through and through! Toning'o long'ui? Erooo kae moda ninye, umeuliza kwanini? Kwasababu kama sio mradi ama biashara, nani tembea!
Si nimewauliza swali LA kcpe mkatoroka? Mlifunzwa hayo form 5Kenya muna elimu na nyinyi???hii wanayofanya wajawazito mitihani!!!
Na wanafaulu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaa! [emoji1] Ndio iweje sasa? Mimi sio muuza sura mwenzako bana. Usiwe na mazoea ya kuandama wanaume wenzako.Tuonueshe location ya GPS yako
Unamweka kwa mtego? Mimi nimewasoma kama riwaya na nikawamalizaTuonueshe location ya GPS yako tu hakiki๐๐๐๐Kama haupo Kajiado nahama JF๐๐๐
Si nimewauliza swali LA kcpe mkatoroka? Mlifunzwa hayo form 5
Jombaa, mwanafunzi wa kidato cha pili Tz akija Kenya huwa anarudishwa hadi darasa la sita, wa kidato cha kwanza, darasa la tano. Wapo wengi mashuleni kule kwetu Kajiado County. Uliza mtz yeyote ambaye amesomea Kenya, shule ya msingi au sekondari, akiwa mkweli atakueleza tu.