Wanafunzi wajawazito Kenya wafanya mitihani ila wazazi watahojiwa

Wanafunzi wajawazito Kenya wafanya mitihani ila wazazi watahojiwa

sasa napataje tabu wakati mimi tayari nina maisha yangu,tena hujui unawezakuta niko sehemu salama kuliko nilipokuwa mwanzo,ila kawaida mwanadamu timamu haamui mambo kwa kutumia tumbo,kama mnavyofanya hapo nchi ya kitu kidogo.

kaanza na chanjo,watu wamezira kuchanja labda atalazimisha kukosa huduma kama mnavyofanywa hapo guinea pigs.

kaja na kuruhusu wazazi kusoma,tunasubiri sheria itakayoongoza hilo.usishangae ikabaki stori ikapita hivi hivi milele,pata mimba uone kama utarudi shule.

mradi wa bagamoyo,ndio tunaomba Mungu atupe uhai 7-10 yrs tutakuwa hapa tukimwombea jpm kwa maono yake kwamba yalikuwa sahihi sana.

nikukumbushe kitu,ccm ni ile ile.usijejinufaisha kwa ugomvi wao.
Buku saba wengi mliachwa kama mayatima maana mama hapendi misifa ya kijinga, yeye anapiga kazi, tena hataki hayo makundi kama ya kina Sabaya.
Ameamsha mazungumzo ya bandari ya Bagamoyo....hehehe nakumbuka mlivyokesha humu mkimtetea yule mzee kwa kuipiga chini, yule aliwachelewesha sana.
 
Buku saba wengi mliachwa kama mayatima maana mama hapendi misifa ya kijinga, yeye anapiga kazi, tena hataki hayo makundi kama ya kina Sabaya.
Ameamsha mazungumzo ya bandari ya Bagamoyo....hehehe nakumbuka mlivyokesha humu mkimtetea yule mzee kwa kuipiga chini, yule aliwachelewesha sana.

pole kaka.
 
nyinyi mtaendelea kupewa walevi na vibaraka maana ndio asili yenu hapo kati.

sikunadi sera za mwendazake kizumbukuku,bali mwamba aliyaishi maisha halisi kichwani na mtaani,ndio sababu nikawa mfuasi wake,kenya mnataka rais kama huyu tuliye naye ili muendelee kiwa kinara ukanda huu katika kila sekta,sitashangaa wewe kukenua jino mpaka la mwisho.

taifa la mwanafunzi asiyeona tatizo kupata mimba ni faifa linalokuwa namsingi dhaifu sana dhidi ya future ya mwanamke,nikuulize wewe huko kwenu kenya mnatiana mimba na kuzalia shuleni,nyinyi wanaume mnapewa adhabu kwa kosa gani wakati mimba sio kilema???wakati nanyinyi mna ndoto zenu pia kupitia elimu??hata ushoga tusipokuwa serious watu kama nyinyi mtabinuana hadharani,inabidi mkiona tudai mtoto otherways ni mboko mchezee ili kuonyesha msisitizo.
I'd take a functional drunk over a sober idiot
 
Wanafunzi wa ki Kenya kipindi kile Cha Covid 19 walibanduliwa sanaaaaaaa yaaan Uhuru Kenyatta akiwaweka tena lock down nahisi mtavunja rekodi
 
functional wa rushwa na mikopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
I will still take a functional corrupt drunk over and idiot.

go ahead and defend how you prefer to have an idiot as your president

Screenshots_2021-11-30-20-04-19.png
 
na alijua kuscrew asses za kunyans[emoji1787][emoji1787]hamtakuja kumsahau mwanaume yule.
the difference between Kenyans and Bongolalas is that Kenyans understand that idiots are not forgotten, they're ignored but in Tanzania, they make him president
 
the difference between Kenyans and Bongolalas is that Kenyans understand that idiots are not forgotten, they're ignored but in Tanzania, they make him president

yes we make him a president,funny thing

ni kwamba amekuwa na ushawishi kwa wakenya wengi timamu kuliko wanuka matako kama wewe.
 
Back
Top Bottom