Wanafunzi wajawazito Kenya wafanya mitihani ila wazazi watahojiwa

Wanafunzi wajawazito Kenya wafanya mitihani ila wazazi watahojiwa

Wewe ni mpumbavu, kwani wajawazito sio watu? Mwogope Mungu. Kwa hiyo dharau uliyonayo unaweza umtafute mtoto na usimpate kamwe. What if your daughter will become pregnant at class 5 after being raped, will you kill her or chase her from your house? May God have mercy on you.

Wacha moto wa maji usioweza kuchoma nyumba.

Kilichokuumiza,ni mimi kushangaa nyinyi kisomesha wajawazito???fact is hiyo elimu anayoringia ndio hiyo wanayosoma mpaka wajawazito???vipi vibaka na wala unga wamesahaulika kweli???

No wonder mnatoka mkijua kuongea kiingereza pekee hapo shule,pumbaaavu.
 
scientists are seen by research they publish, si kusema sema tu eti "sisi tunaheshimika" tuwaone mkipata nobel hata moja.

Noble ndio nini kusema,inatoka kwa Mungu au???acha uzwazwa basi.
 
scientists are seen by research they publish, si kusema sema tu eti "sisi tunaheshimika" tuwaone mkipata nobel hata moja.

Ahaaa haaa haaa
kumbe huna taarifa.
ni nchi gani duniani iliyogundua kuwa panya anaweza kufundishwa kujua wapi land mines zipo. pia panya wamewezeshwa kujua mtu mwenye vimelea vya tuberculosis. please get a life, KNOW who are we in the science and technology.
 
kupata Elimu ni haki cha ajabu hata wa private sector nao wakiwa wajawazito hawatakiwa kufanya mitihani Tz
 
kupata Elimu ni haki cha ajabu hata wa private sector nao wakiwa wajawazito hawatakiwa kufanya mitihani Tz

Simple, mtoto achague kusoma na kuwa mama,
Nilikuwa mwalimu wa kijitolea wakati fulani, wengi wA hawa watoto ni wajinga sana.
Wako radhi kukutongoza hadi Mwalimu.
 
Simple, mtoto achague kusoma na kuwa mama,
Nilikuwa mwalimu wa kijitolea wakati fulani, wengi wA hawa watoto ni wajinga sana.
Wako radhi kukutongoza hadi Mwalimu.
Simple, mtoto achague kusoma na kuwa mama,
Nilikuwa mwalimu wa kijitolea wakati fulani, wengi wA hawa watoto ni wajinga sana.
Wako radhi kukutongoza hadi Mwalimu.
Huo ni mtazamo wako ndio maana tunaita watoto below 18, lakin wapo pia waliobakwa, hadi leo wapo watu wengi maofisin wanalisaidia hili taifa ila walipata mimba wakiwa shule
 
Wacha moto wa maji usioweza kuchoma nyumba.

Kilichokuumiza,ni mimi kushangaa nyinyi kisomesha wajawazito???fact is hiyo elimu anayoringia ndio hiyo wanayosoma mpaka wajawazito???vipi vibaka na wala unga wamesahaulika kweli???

No wonder mnatoka mkijua kuongea kiingereza pekee hapo shule,pumbaaavu.
Y
No wonder you don't respect your own mother. Yani ninamaanisha, haumuheshimu hata mama yako aliyebemba mimba tumboni mwake kukuzaa wewe.
 
kupata Elimu ni haki cha ajabu hata wa private sector nao wakiwa wajawazito hawatakiwa kufanya mitihani Tz
Jirani zetu kawaida yenu ni kwamba hata mzaha kama huo kwenye masuala muhimu kama elimu huwa mnachukulia poa tu. Huku upande wa pili wanafunzi wa Kenya wakijiandaa kufanya mtihani wao wa kitaifa huwa wanapewa motisha na viongozi wa ngazi za juu kabisa serikalini.
1662435.jpg
1843882.jpg
Dq0j2yEXcAA3T3D.jpg
DNiBuwcW4AE0l_E-660x400.jpg
 
Ahaaa haaa haaa
kumbe huna taarifa.
ni nchi gani duniani iliyogundua kuwa panya anaweza kufundishwa kujua wapi land mines zipo. pia panya wamewezeshwa kujua mtu mwenye vimelea vya tuberculosis. please get a life, KNOW who are we in the science and technology.

TZ is not known for science and technology kakangu. As opposed to many things you claim TZ is great for, unfortunately science si kuongea tu hapa JF, look at this list of patent applications and see where Bongo lies. This is a good indicator of research going on in your country.
Countries ranked by Patent applications, residents

Another list 2017. Tell me where TZ even appears .
http://www.wipo.int/edocs/pubdocs/en/wipo_pub_941_2017.pdf

Propaganda za CCM mbovu sana.
 
TZ is not known for science and technology kakangu. As opposed to many things you claim TZ is great for, unfortunately science si kuongea tu hapa JF, look at this list of patent applications and see where Bongo lies. This is a good indicator of research going on in your country.
Countries ranked by Patent applications, residents

Another list 2017. Tell me where TZ even appears .
http://www.wipo.int/edocs/pubdocs/en/wipo_pub_941_2017.pdf

Propaganda za CCM mbovu sana.

Teh teh teh tihiii
I was thinking you deny the innovations I mentioned earlier. badala unaleta longolongo.
 
kweli kenya ni failed state haswa!!! litoto limeshazaa upuuzi mtupu halafu bado anapelekewa afanye mtihani hadi Hospitalini huu ni uendekezaji wa hali ya juuu mpuuz mtupu huu:,NB:Awe-amebakwa hajabakwa akizaa tu huyo ni mzazi tayari sio mwanafunzi...
kwa sisi watanzania ujinga ni mtaji mkubwa sana wa wanasiasa.......


ilani ya ccm inasema mwanafunzi aliepata mimba anapaswa kuendelea na masomo!!!.........

watanzania hebu tupunguze wendawazimu basi wa kubisha kila zuri
 
Tuna mpango wa kuwaletea wajawazito waje wafanyie huko mtihani.

Mnaonaje???

I

Nakukumbuka sana jamaa ulivyokua unanadi sera za yule mzee mwenda zake, vipi naskia mama kabatilisha vyote na kuweka sawa, wanafunzi waliopata uja uzito wataruhusiwa kuendelea na elimu, sio kujaza mazombi mitaani isiyokua na elimu.
Dah! Yule mzee.....naomba sana Kenya tusiwahi kuteleza tukapata rais kama huyo mzee wenu, tunaweza kurudi nyuma tena mbali sana.
 
Nakukumbuka sana jamaa ulivyokua unanadi sera za yule mzee mwenda zake, vipi naskia mama kabatilisha vyote na kuweka sawa, wanafunzi waliopata uja uzito wataruhusiwa kuendelea na elimu, sio kujaza mazombi mitaani isiyokua na elimu.
Dah! Yule mzee.....naomba sana Kenya tusiwahi kuteleza tukapata rais kama huyo mzee wenu, tunaweza kurudi nyuma tena mbali sana.

nyinyi mtaendelea kupewa walevi na vibaraka maana ndio asili yenu hapo kati.

sikunadi sera za mwendazake kizumbukuku,bali mwamba aliyaishi maisha halisi kichwani na mtaani,ndio sababu nikawa mfuasi wake,kenya mnataka rais kama huyu tuliye naye ili muendelee kiwa kinara ukanda huu katika kila sekta,sitashangaa wewe kukenua jino mpaka la mwisho.

taifa la mwanafunzi asiyeona tatizo kupata mimba ni faifa linalokuwa namsingi dhaifu sana dhidi ya future ya mwanamke,nikuulize wewe huko kwenu kenya mnatiana mimba na kuzalia shuleni,nyinyi wanaume mnapewa adhabu kwa kosa gani wakati mimba sio kilema???wakati nanyinyi mna ndoto zenu pia kupitia elimu??hata ushoga tusipokuwa serious watu kama nyinyi mtabinuana hadharani,inabidi mkiona tudai mtoto otherways ni mboko mchezee ili kuonyesha msisitizo.
 
nyinyi mtaendelea kupewa walevi na vibaraka maana ndio asili yenu hapo kati.

sikunadi sera za mwendazake kizumbukuku,bali mwamba aliyaishi maisha halisi kichwani na mtaani,ndio sababu nikawa mfuasi wake,kenya mnataka rais kama huyu tuliye naye ili muendelee kiwa kinara ukanda huu katika kila sekta,sitashangaa wewe kukenua jino mpaka la mwisho.

taifa la mwanafunzi asiyeona tatizo kupata mimba ni faifa linalokuwa namsingi dhaifu sana dhidi ya future ya mwanamke,nikuulize wewe huko kwenu kenya mnatiana mimba na kuzalia shuleni,nyinyi wanaume mnapewa adhabu kwa kosa gani wakati mimba sio kilema???wakati nanyinyi mna ndoto zenu pia kupitia elimu??hata ushoga tusipokuwa serious watu kama nyinyi mtabinuana hadharani,inabidi mkiona tudai mtoto otherways ni mboko mchezee ili kuonyesha msisitizo.

Unapata wakati mgumu sana maana mama kazibadilisha zote hizo, chanjo ya corona, elimu kwa waja wazito na mengine mengi, mumepoteana huko CCM, naona yule Polepole kaanzisha sijui channel yake huwa anabwabwaja badala ajinyamazie kama Bashiru.
 
Unapata wakati mgumu sana maana mama kazibadilisha zote hizo, chanjo ya corona, elimu kwa waja wazito na mengine mengi, mumepoteana huko CCM, naona yule Polepole kaanzisha sijui channel yake huwa anabwabwaja badala ajinyamazie kama Bashiru.

sasa napataje tabu wakati mimi tayari nina maisha yangu,tena hujui unawezakuta niko sehemu salama kuliko nilipokuwa mwanzo,ila kawaida mwanadamu timamu haamui mambo kwa kutumia tumbo,kama mnavyofanya hapo nchi ya kitu kidogo.

kaanza na chanjo,watu wamezira kuchanja labda atalazimisha kukosa huduma kama mnavyofanywa hapo guinea pigs.

kaja na kuruhusu wazazi kusoma,tunasubiri sheria itakayoongoza hilo.usishangae ikabaki stori ikapita hivi hivi milele,pata mimba uone kama utarudi shule.

mradi wa bagamoyo,ndio tunaomba Mungu atupe uhai 7-10 yrs tutakuwa hapa tukimwombea jpm kwa maono yake kwamba yalikuwa sahihi sana.

nikukumbushe kitu,ccm ni ile ile.usijejinufaisha kwa ugomvi wao.
 
Back
Top Bottom