pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😳😳Hawa hapa ni mahabusu wakikabidhiwa mtihani wao na waziri wa elimu mwenyewe, Amina Mohammed. Iweje tuwakubalie wao wafanye mtihani wa kitaifa alafu tuwanyime wanafunzi wajawazito?![]()
Huku kwetu wasichana wajawazito wapo matatani sana sababu ya sheria uchwara.Hata ajifungue hapo hapo lazima akamilishe
Kenya mpo mbali sana. Tanzania tushindane na Burundi.Kidzude, hawa hapa ni mahabusu wakikabidhiwa mtihani wao na waziri wa elimu mwenyewe, Amina Mohammed. Iweje tuwakubalie wao wafanye mtihani wa kitaifa alafu tuwanyime wanafunzi wajawazito?![]()
![]()
Jombaa, elimu ni haki msingi ya kila mkenya chini ya katiba mpya ya Kenya 2010. Sio kitu cha kuomba omba tena.Kenya mpo mbali sana. Tanzania tushindane na Burundi.
????? Msupa, tupia maneno mawili matatu basi. Sijakuelewa hapo.
Never mind. I was not seriousJombaa, elimu ni haki msingi ya kila mkenya chini ya katiba mpya ya Kenya 2010. Sio kitu cha kuomba omba tena. ????? Msupa, tupia maneno mawili matatu basi. Sijakuelewa hapo.
Mna vipofu humu wanasapoti hiyo policy yenuHuku kwetu wasichana wajawazito wapo matatani sana sababu ya sheria uchwara.
Hongereni kwa hili
Elimu ni haki ya msingi
Bravo. That's good haya ndio ya kuyatangaza duniani cnn na BBC. Maana hata magereza ya usa ni worse kuliko yetu huku kwetu.Kidzude, hawa hapa ni mahabusu wakikabidhiwa mtihani wao na waziri wa elimu mwenyewe, Amina Mohammed. Iweje tuwakubalie wao wafanye mtihani wa kitaifa alafu tuwanyime wanafunzi wajawazito?![]()
Baadhi ya hawa hapa wanaofanya mtihani wao wanatumikia kifungo cha maisha Kodiaga Prison, Kisumu.![]()
Waliowapa mimba wako wapi. Je hawa watoa fedha wapo tayari kujenga mabweni kupunguza mimba? Je sheria zinafuatwa Ili waliobakwa wapewe haki zao.Huku kwetu wasichana wajawazito wapo matatani sana sababu ya sheria uchwara.
Hongereni kwa hili
Elimu ni haki ya msingi
Amen to that.Wafungwa waachiwa huru kuendelea na masomo chuo kikuu baada ya kufaulu mtihani Kenya. We all deserve a second chance.
KCSE marks free Naivasha inmates
Wewe ni mpumbavu, kwani wajawazito sio watu? Mwogope Mungu. Kwa hiyo dharau uliyonayo unaweza umtafute mtoto na usimpate kamwe. What if your daughter will become pregnant at class 5 after being raped, will you kill her or chase her from your house? May God have mercy on you.Kenya muna elimu na nyinyi???hii wanayofanya wajawazito mitihani!!!
Na wanafaulu[emoji23][emoji23][emoji23]
huna ulijualo, kasome ilani ya ccm juu ya wanafunzi wapatao mimba inasemaje.Huo ni ujinga. Hatuwezi kutoa pesa za bure kusomesha wazazi...Kama chilazima tuwe na msimamo...
joto la jiweKenya mpo mbali sana. Tanzania tushindane na Burundi.
scientists are seen by research they publish, si kusema sema tu eti "sisi tunaheshimika" tuwaone mkipata nobel hata moja.sisi huku f5 wetu wanasomba kitabu cha physics almaarufu kama up (university physics). hata waingereza sisi wanatuheshimu kwa masomo ya science.
that is why mtabaki hapo kwenu mkifanya uganga..An educated population is better than mines of Tanzanite and Diamonds.kweli kenya ni failed state haswa!!! litoto limeshazaa upuuzi mtupu halafu bado anapelekewa afanye mtihani hadi Hospitalini huu ni uendekezaji wa hali ya juuu mpuuz mtupu huu:,NB:Awe-amebakwa hajabakwa akizaa tu huyo ni mzazi tayari sio mwanafunzi...
Huo uganga unafanyaga wewe na bibi yako.that is why mtabaki hapo kwenu mkifanya uganga..An educated population is better than mines of Tanzanite and Diamonds.
Akili za mbwa hizi.Kenya mpo mbali sana. Tanzania tushindane na Burundi.