Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Serikali yenyewe haijui inaelekea wapi.Tuseme nchi imelemewa na wanafunzi. Fomu one hakuna vyumba, na wakimaliza vyuo wakajiajiri.
Mwingine kasema zaeni yeye atajenga shule . Mwingine kasema madarasa hayatoshi.
Sawa.