wewe mvivu wa kufikiri acha kuleta ushabiki wakitoto wanafanya probability ili iweje? mbona kuna course zinazopewa priority(medicine,education,agriculture) kaa ukijua wanatoa mikopo kwa vigezo tofauti ndio maana kuna grades(A,B,C,D...)
Sasa huu mwaka wamekurupuka kwanza wametoa pesa ambazo pia watu hawaelewi zinagawanyika vipi kingine watu wamenyimwa mkopo wenye kila sababu ya kupewa ikiwa ni pamoja na kusoma gvt schools kuanzia vidudu mpka chuo na wamefaulu zivuri kingine unakuta m2 uyouyo kapangwa izo medicine.
Wewe inaonekana unayo mdogo wako ambae kabaatika kupewa mkopo na wakati vigezo hana! acha kurudisha wa2 nyuma badala ya kujadili topic husika wa2 wanakujadili wewe... acha izo mambo ww...