Wanafunzi Wanafeli kwa Uzembe wao - Waziri

mkuu ni kweli haya matoto ya miaka hii ni majinga sana. kutwa yapo kwenye disko, runinga, ngono zembe na n.k unafikiri kuna ufaulu hapo?
 
umeona mkuu, dawa yao ni kuwalamba tu, tena mtandao
 
Changamoto kubwa ni mazingira ya ufundishaji na mazingira ya mwanafunzi mwenyewe atokako..utamwambia nini aelewe kama hajala akitoka akauze mwili ajikimu...kumbuka miaka ya zamani elimu ilivykuwa inatolewa hata kama unatoka familia duni vip ulikuwa unaweza kusoma na shule zilikuwa sawa zote..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…