Wanafunzi wanaopata ufaulu wa Division One Point 7, kama hawakukariri wapelekwe University moja kwa moja

Wanafunzi wanaopata ufaulu wa Division One Point 7, kama hawakukariri wapelekwe University moja kwa moja

Si kwa utitiri huu wa div one skuizi kupata one is not big deal bwana ni rahisi sbb uelewa umeongezeka na hata hizi EM zimerahisisha...May be one day meza itapinduka hizo div one zitakuwa ndo idadi ya ajira za graduates mtaani
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
Wamefaulu katika ngazi waliyotahiniwa! Masomo ya kidato cha sita yako juu sana kuliko kidato cha nne. Kidato cha sita kwa (tahasusi za sayansi) kila somo lazima ufanye mitihani isiyopungua miwili ili kupanua wigo wa kukupima! Masomo ya kidato cha nne baado sana kumpa sifa kwenda chuo
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
Sema nini, WANI za siku hizi zina maajabu sana. Hebu angalia matokeo haya hapa chini...

1. Wa kwanza
1737724481508.png


2. Wa pili
1737724594013.png


Enzi zetu kulikuwa na masomo ukipata F, yaani utapigwa penati. Siku hizi wameondoa penati, matokeo yake zipo WANI zenye F ya kiswahili, kemia, hesabu na english. Wani haitakiwi kuwa na F ya somo lolote
 
Advance kumeiva mkuu masomo yake,utafananisha Chemistry ya o level na advance?
 
Shida mimi nilipenda matarcle mapema nikaambulie 4 yangu saafiii
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
Wapelekwe shule serikali A level ndio utajua miujiza hahah
 
hao wanaopata phd at 12, ni prodogies, ni wachache sana, sana.

kupata I 7 hakuna upekee, ni jambo rahisi mno.

kwa mtu anayehitaji kusoma STEM ni vizuri aende advance akapate misingi ya fizikia na hesabu ambayo ni muhimu mno

fizikia na hesabu za o-level ni cha mtoto
Miaka ya hivi karibuni, mtoto kufeli ni yeye tu kutokua makini na kupangilia muda.
Materials yapo kama yote, ushindwe wewe tu. Majibu ya maswali unayapata kiwepesi zaidi tofauti na zamani.

Mitihani maswali yanajirudia kama ni kubadilika basi ni kidogo tu.

Ajabu watu wazima wa sasa ni kama wanawaonea wivu hawa madogo wa siku hizi jinsi wanafanya vizuri kwenye mitihani yao, acheni vijana wapete, enzi zilikua enzi za giza, kupata past papers ilikua kimbembe.
 
Hao wengi wao wanamaarifa ya ziada wanayofundishwa nyumbani Miaka 11 tayari mtu anacode ,kafanya mashindano chungu nzima ya math na phys duniani ndio ulinganishe na hawa wakariri sifa 5 za vishazi.
Kuna dogo wa Feza boys humu alikuwa kwenye top 10 na video yake iliwekwa humu namnukuuu " mitihani ya NECTA rahisi sana kama kuamka na kukuojoa" Hesabu anadai alifanya kwa dk 25 tu akazipata zooote.
 
Nchi hii ina miujiza mingi sana

Nimeona shule moja ina watoto almost wote wamepata Division One Point 7

Mtoto anayepata distinction, straight 7 As, au kwa lugha nyingine mtoto ambaye ni A material, hapaswi kuachwa kwenye darasa ambalo analiweza.

Anapaswa apelekwe kwenye darasa ambalo litampa changamoto, bila kujali umri wake.

Tunasikia kwa wenzetu, mtoto wa miaka kumi na mbili (12years old) ana shahada ya uzamivu (PhD),

Kwanini hao watoto wasirushwe madarasa, wakafanye mitihani mingine ikiwa tunajua uwezo wao ni mkubwa, kwanini mnataka watoto wenye uwezo mkubwa kufanya mitihani hafifu na dhaifu kwao?


hawa watoto waende madarasa ya juu zaidi, ikiwezekana University waka stretch ubongo wao

Vinginevyo mtuambie kwamba hao watoto wanakariri, hawana uwezo wa kiakili.
Wanafunzi wote wa div 1 na div 2 wanatakiwa kwenda vyuoni moja kwa moja....sema ccm ni wapumbavu
 
hao wanaopata phd at 12, ni prodogies, ni wachache sana, sana.

kupata I 7 hakuna upekee, ni jambo rahisi mno.

kwa mtu anayehitaji kusoma STEM ni vizuri aende advance akapate misingi ya fizikia na hesabu ambayo ni muhimu mno

fizikia na hesabu za o-level ni cha mtoto
Umenena vizuri. Huwezi kumtoa form four akasomee engineering chuo kikuu wakati hana hata foundation ya calculus atakwama maana kule wanaassume at least foundations za differential na integral calculus unazijua. Labda kwa masomo ya arts huenda ikawezekana.
 
Back
Top Bottom