Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,318
- 684
Tupo hatuna mbele wala nyuma!baada ya form6 hakuna aliyefanya evaluation kama lengo la special schools lilifanikiwa au?tatizo tz hakuna mfumo wa kueleweka wa elimu
hatuna historia ya kutunza mafanikio katika kila kitu ndo tatizo letu.