Wanahabari akiwemo Mkenya washikiliwa kusikojulikana ndani ya Tanzania

but makonda is man to watch in Tz wajua the guy already understands the government system very well, kwa siasa watu kama hawa ndio that rise to become powerful people kama ma Rais. ata uku Kenya si Unaona vile Ruto uwa analia.
Hakuna anaeielewa serikali vizuri.
Ni suala la kutumika tu na muda wako unapoisha, unaondolewa kupisha wengine.
 
Kwa kweli ukimskliza Ruto wakati anahojiwa, jamaa yuko poa sana upstairs, halafu pia hata huyo Makonda ipo siku nilitazama akihojiwa kwenye studio, sikuamini jamaa anazo akili kiasi hicho, alikua anajieleza hadi basi.
Uyu jamaa na Ruto are quite similar, and am sure their thinking is the same, ni vile tu the stage is different but the actors are the same. nakumbuka Ruto akiwa naibu waziri enzi za Moi he was more powerful than ministers and even more vocal. this guy is the same utadhani after Maghufuli he is the second most powerful person. alafu Pia he is Young he has time on his side, niamini uyu atakuja kunyoosha TZ vilivyo waache kupinda. Ata hii unaona wanalia lia kwa kanisa na kujaribu kutumia dini kwenye malengo yao wote ni sawa lengo lao moja, kuwa rais kwa njia yeyote.
 
Unachoongea ni sahihi kabisa, Makonda yupo vizuri sana kiutendaji na anafanya kazi kweli. Tatizo letu huku Bongo wengi wanafiki watu wanamchukia makonda bila sababu.

#DG
 
Unachoongea ni sahihi kabisa, Makonda yupo vizuri sana kiutendaji na anafanya kazi kweli. Tatizo letu huku Bongo wengi wanafiki watu wanamchukia makonda bila sababu.

#DG
Wajua kumchukia mtu haitoshi, kwanza wale watu wanachukiwa wako katika nafasi kubwa sana kuja kutawala,maana hao wana wafuasi sugu sana na mpango wao wa kutumia dini na utamaduni unaambatana vizuri na watu walio komaa ambao ndio wapiga kura wengi. utakuta vijana labda hawampendi lakini vijana kwa kawaida uwa hawapigi kura,kazi yao ni kulalamika tu kwa social media bure.
 
hi
hii sasa hatari sana, wanaweza kuwa walitekwa na ngenge lile lilimteka billionare Mo? could be a parallel rogue security team
 
Tuendelee kufuatilia; ila hatuko salama sasa!
 
Inanikumbusha Nchi ya Myanmar, kule wageni na wanahabari wanaishi kwa hofu hujui ni lipi litakupata kwenye pilka pilka zako za kila siku huenda utatamka neno likatosha kukuweka korokoroni bila hata ufuataji wa sheria.
 

Unadhani Namba moja kwa unafiki duniani ni Ipi?
 
tuna poteza sifa ya kuwa na ujamaaa uloo bora zaidi na ile sifa ya tsnzania kuwa na ukalimu zaid inapotea je kwa haya yanayo endelea tuna tafsiri vp dhima ya ukarimu na ujamaa baina yetu na nchi jirani zetu
 
😀😀 eti wanaogopa wazungu? ki vipi RC Makonda na Rais Maghufuli hawatambui ilo, kusema ukweli nampenda uyu Jamaa Makonda, i think ndiye Malema wa uku mashariki.
Soma historia ya Malema hajawahi kupata 0+ na jina analotumia ni lake kabisa. Usimfananishe Malema na huyo Master wa Dudubaya.
 
Tatizo hukurupuka halafu akigeuziwa kibao analia machozi, Makonda anapenda kulia sana jamaa.
Kumwaga machozi ndiyo silaha yake kubwa akiona amebanwa, tena hukimbilia kumwaga machozi yake kanisani...
 
but makonda is man to watch in Tz wajua the guy already understands the government system very well, kwa siasa watu kama hawa ndio that rise to become powerful people kama ma Rais. ata uku Kenya si Unaona vile Ruto uwa analia.

Kulia lia ni umama....huwezi kuwa kiongozi mkubwa labda kwa mbeleko
 
Kenya imetulia sana sikuizi.Tangu Moi aondoke majirani wetu wanadhani wanaweza cheza na Kenya. Majirani wamegundua uhuru ni mtu mpole hawezi fanya Kitu ju ya democrasia. Endeleeni Kuchokoza Simba, mtapata mnacho tafuta. And trust me you won't like it[emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 

Mpigane na China kwanza. Chinese province of kenya.
 
Unaleta ujinga Tz, mnakuja kutujaribu. Tunajua wakenya, SA mna mercenaries, kiasi kwamba wangekuwa kwenu mge waua, ila hapa kwetu tunatenda haki na kufuata sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…