Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Wacha wakatolewe malinda
Hivi waTz mnaofurahia huu *USIOJULIKANA" mna ufahamu kweli ?! Nchi zenye sifa hizi za wasiojulikana hawana maendeleo wala democracy. Na kwa mtu anayejuwa sisi si kisiwa na watu wetu wanaenda nje na hawatiwi misukosuko. Labda ushabikie vitu hivi ukiwa na akili za humu humu.Hatutaki umalaya. Tanzania sio nchi ya kindezindezi
Hautaenda coz hauna mishe ya maana ya kufanya.. Wenye mishe tunaenda hadi SomaliaWatanzania mda mwingine tunazingua hadi kero, toooo much harmful, Kenya nilikuwa naingia kama vile nipo Tanzania bila kusumbuliwa vibali wala kuhofia maisha yangu,
Lakini sasa hivi kwenda tu boda ya Namanga sikanyagi tena kuhofia usalama wangu, Diplomasia ya hizi nchi mbili ulisha potea kabisa, tunaishi tu kiunafiki.....
Tanzania sisi ni wanafikiiii namba moja Africa na ya pili Duniani kwa Unafiki....
haya chief...Hautaenda coz hauna mishe ya maana ya kufanya.. Wenye mishe tunaenda hadi Somalia