Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
Msemaji wa serikali Msigwa kaita waandishi kutoa "ufafanuzi" wa serikali kuhusu mkataba wa bandari, alipomaliza akasema:
Kwa hiyo ndugu zangu naombeni muwaambie Watanzania dhamira ya serikali ni njema...... Mmenielewa ndugu zangu??
Waandishi wakaitikia ndioooo!
Kwa hiyo ndugu zangu naombeni muwaambie Watanzania dhamira ya serikali ni njema...... Mmenielewa ndugu zangu??
Waandishi wakaitikia ndioooo!