Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
- Thread starter
- #21
Tumeamka salama, tumshukuru Mungu
Jumapili ya leo Kamati ya Mapokezi wanatamani kuwa kama sisi lakini uwezo wao mdogo.
WanaSimba kwao wanafuraha sana baada ya kufuzu hatua ya robo fainali kwa kishindo.
Tuelewane lengo letu ni kufika nusu fainali kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika.
Tunakwenda hatua kwa hatua mpaka kieleweke.. NguvuMoja
Jumapili ya leo Kamati ya Mapokezi wanatamani kuwa kama sisi lakini uwezo wao mdogo.
WanaSimba kwao wanafuraha sana baada ya kufuzu hatua ya robo fainali kwa kishindo.
Tuelewane lengo letu ni kufika nusu fainali kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika.
Tunakwenda hatua kwa hatua mpaka kieleweke.. NguvuMoja