SI KWELI Wanahabari waliovujisha video ya Rais wa Sudan Kusini akijikojolea wauawa

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Kumbuka kuwa hata kule kuna vitengo kama uvccm kwahiyo kama serikali imewaua kweli na kuwapoteza lazima vitokee vikundi vya kupinga hilo.
 
Asante sana JFCheki kwa kufuatilia hii taarifa na kutuletea ukweli. Waandishi wengi tulikuwa tumeanza kuogopa kuripoti matukio.
 
Makosa mawili kwenye post hii:-

1. Zimetajwa nchi mbili tofauti za Sudan na baadaye Sudan Kusini (South Sudan).

2. Muandishi badala ya Mwandishi.

Edit before you post any stuff.
Nina mambo sita juu yako Mkuu moja ni hapa ni ''Common errors'' amefanya ni somo kamili linalo jitegemea!!......weye ndo una makosa ya uelewa rudi drsani bila kipingamizi ukasome what is commn errors!...hiyo moja! pili....hujui Rais wa sudan ni nini! ...na nani.. wapi...... lini....

tatu umeandika makosa tena kwa kujiamini! bila kujiuliza unachokifanya!.......

Nne bado upo unaishi na wanao/majirani wanona. ulivyo kibua......Tano sisemi sana utaja jiua bureee,,,,,sita....endelea mwenyewe!
 
Walichokosea waandishi walipaswa kukwepesha kamera kwa kwa kuwa shughuli ile ilikuwa live. Hata hivyo kama ni kweli waandishi wameuawa ni kitendo cha kikatili na kilaaniwe. Mungu haruhusu ukatili wa kutoa roho ya mwanadamu mwenzako kwa vyovyote vile. Soma kitabu cha Kutoka 20:13. Kutoa uhai wa mwanadamu mwenzako ni laana kwa aliyetekeleza na aliyeagiza. Laana hiyo haiishii kwa mkosaji bali kwa kizazi chake chote.
 
Habari nyingine zinachefua.
 
ni uonevu, kwani si alijikojolea kweli au
 
Rais wa nchi za waliostarabika toka karne ya 16, kama Rais wao angejinyea au kujikojoelea yule mwandishi angepewa tuzo, Africa ananyongwa

tofauti kubwa mno, tupo mbali saana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…