kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Inawezekana mitaala yetu nchi nzima ni mibovu hivyo inatoa wanafunzi, walimu na wahitimu wabovu pia kwenye kila fani, lakini wahitimu kwenye journalism ni wabovu zaidi,
Zamani waandishi habari walikuwa mahiri sana kiasi Cha kuunda mhimili 4 baada ya serikali, bunge na mahakama.
Mwisho wa wanahabari kuwa mhimili wa 4 ilikuwa wakati wa akina Jenelali ulimwwngu, Bagenda, hamza kasongo, tido mhando, na wengine.
Leo hii kila mwandishi wa habari anatetemeka wakati anaamdika au kusoma habari. Wamejawa na woga, wanajiposition ili kupata uteuzi, hii ni hatari sana kwa taifa na dunia. Watu hawataujua ukweli wote kwa namna hii. Utajua kila mwanasiasa anachotaka ukifahamu. Wanasiasa Sasa wanatulazimisha blue tuseme ni nyeusi tunataka au hatutaki. Wanahabari wetu are cowards terribly to say and write what they want to write, real cowards. They can not write about what they believe it is true them, nation and to the world, instead they have decided to join the politicians. They can not fight them now they join them squarely.
Zamani waandishi habari walikuwa mahiri sana kiasi Cha kuunda mhimili 4 baada ya serikali, bunge na mahakama.
Mwisho wa wanahabari kuwa mhimili wa 4 ilikuwa wakati wa akina Jenelali ulimwwngu, Bagenda, hamza kasongo, tido mhando, na wengine.
Leo hii kila mwandishi wa habari anatetemeka wakati anaamdika au kusoma habari. Wamejawa na woga, wanajiposition ili kupata uteuzi, hii ni hatari sana kwa taifa na dunia. Watu hawataujua ukweli wote kwa namna hii. Utajua kila mwanasiasa anachotaka ukifahamu. Wanasiasa Sasa wanatulazimisha blue tuseme ni nyeusi tunataka au hatutaki. Wanahabari wetu are cowards terribly to say and write what they want to write, real cowards. They can not write about what they believe it is true them, nation and to the world, instead they have decided to join the politicians. They can not fight them now they join them squarely.