Wanaharakati !
kuweni makini hasa mnapokosoa mambo yenye misingi ya kidini!
Wakati serikali ikiendelea kutekeleza majukumu yake kikatiba, kwa kuhakikisha inakusanya kodi kutoka taasisi zote za kibiashara ikiwemo binafsi na zile zinazomilikiwa na makanisa!
Wameibuka wanaharakati kuhusisha madai ya kodi katika shule moja inayomilikiwa na kanisa katoliki kuwa ni ya kisiasa na harakati za uchaguzi mkuu 2020 ilihali chimbuko la madai hayo yapo ni tangu 2012!
Mojawapo ya walionukuliwa ni #Maria Sarungi ambaye yeye kadhihaki taasisi ya dini na kuifananisha na KORODANI jambo lililogusa imani za watu!
Inatambulika kwamba Korodani ni Nyama au ngozi inayoning'inia chini ya shina la Uume katika sehemu za siri za mwanamme!
Hivyo maneno yake yanahesabika kuwa ni ya kichochezi kwa kuhamasisha wanaume kubanwa korodani kama ishara ya kushurutishwa jambo litakalohatarisha maisha ya Wanaume!
kuweni makini hasa mnapokosoa mambo yenye misingi ya kidini!
Wakati serikali ikiendelea kutekeleza majukumu yake kikatiba, kwa kuhakikisha inakusanya kodi kutoka taasisi zote za kibiashara ikiwemo binafsi na zile zinazomilikiwa na makanisa!
Wameibuka wanaharakati kuhusisha madai ya kodi katika shule moja inayomilikiwa na kanisa katoliki kuwa ni ya kisiasa na harakati za uchaguzi mkuu 2020 ilihali chimbuko la madai hayo yapo ni tangu 2012!
Mojawapo ya walionukuliwa ni #Maria Sarungi ambaye yeye kadhihaki taasisi ya dini na kuifananisha na KORODANI jambo lililogusa imani za watu!
Inatambulika kwamba Korodani ni Nyama au ngozi inayoning'inia chini ya shina la Uume katika sehemu za siri za mwanamme!
Hivyo maneno yake yanahesabika kuwa ni ya kichochezi kwa kuhamasisha wanaume kubanwa korodani kama ishara ya kushurutishwa jambo litakalohatarisha maisha ya Wanaume!