hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Korodani ni uchochezi ...!?? Yaani kiungo cha mwili kimekuwa uchocheziKatumia lugha ya kichochezi kusambaza maudhui jambo linalohatarisha maisha ya wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Korodani ni uchochezi ...!?? Yaani kiungo cha mwili kimekuwa uchocheziKatumia lugha ya kichochezi kusambaza maudhui jambo linalohatarisha maisha ya wengine
Kasema Kanisa katoliki limebanwa Korodani;Wapi pameandikwa kanisa limekalia pumb hapo?
Ni uchochezi! Tena mbali na uchochezi inahamasisha wanaume kubanwa Korodani kwenye jamii!Korodani ni uchochezi ...!?? Yaani kiungo cha mwili kimekuwa uchochezi
kwa mujibu wa naniKatumia lugha ya kichochezi kusambaza maudhui jambo linalohatarisha maisha ya wengine
afadhali umempa makavu, anadhani wote ni CCM ambao hawawezi kufikiri. Hakuna maneno mabaya hapo aliyoyaandika Sarungi, ni mfano mzuri tu kuwa serikali inataka kuua shule/kanisa maana mwanamme ukimbana korodani una lengo la kumuua, maumivu huwa ni makali sana yasiyovumilika...etc etcHivi unafikiri kuwa kila mtu ni punguani ambae hajui kusoma kwa ufasaha?Nikisema kuwa wewe umebanwa korodani maana yake nakufananisha wewe na korodani?
afadhali umempa makavu, anadhani wote ni CCM ambao hawawezi kufikiri. Hakuna maneno mabaya hapo aliyoyaandika Sarungi, ni mfano mzuri tu kuwa serikali inataka kuua shule/kanisa maana mwanamme ukimbana korodani una lengo la kumuua, maumivu huwa ni makali sana yasiyovumilika...etc etc
Wenye akili ka yako ndio waliomuwajibishaMkuu! Kuna mtu aliwahi tamka maneno! "Nguruwe kaingia Msikitini" akiwa na maana ya lowassa kuingia chadema!
Aliwajibishwa kwa kutumia maneno ya dhihaka kwenye taasisi za dini!
Nawe utakuwa umebanwa clit sio korodani [emoji16][emoji23]Hivi unafikiri kuwa kila mtu ni punguani ambae hajui kusoma kwa ufasaha?Nikisema kuwa wewe umebanwa korodani maana yake nakufananisha wewe na korodani?
👍👍Anatakiwa kutumia lugha ya staha anapowasilisha hoja zake
Aliyeandika utumbo hujamuona halafu unaniita mm mwehuKweli umeanza kuwehuka. Ndio umeandika nini sasa?
haina pumbu sasa unalia nini?Siyo tusi kama kama likitumika pahala pake! Lakini ukitaja taasisi kua imekalia pumbu ni kosa!
Kwasababu taasisi haina pumbu