Wanaharakati wa jinsia ya kike mpo wapi hapa? Au hili ndilo mnalolitaka?

Wanaharakati wa jinsia ya kike mpo wapi hapa? Au hili ndilo mnalolitaka?

Wapo akina nandy humu watakwambia mbona hamna shida hapa?
 

Attachments

  • FB_IMG_1658098628996.jpg
    FB_IMG_1658098628996.jpg
    43.3 KB · Views: 5
Mpo wapi kutetea usawa au udhalilishaji wa kijinsia...?

Muangalie hapo Billnas alivyotupia kavaa kwa heshima na stara nzuri... Vazi ambalo akiingia popote atapokelewa kwa heshima iwe IKULU au BUNGENI anaingia bila bughudha...

Tuje upande wa pili wa NANDY alivyovalishwa... Mpeleke ikulu au bungeni aingie hivyo... Ataruhusiwa au atazuiwa? Bila shaka atazuiwa... Kwanini azuiwe?

Vazi alilovishwa ni UDHALILISHAJI WA KIJINSIA... Yaani mumewe billnas avishwe vazi la heshima lisiloonesha maungo wala uchi wake(SUTI)...ila NANDY mnamvisha vazi la kumuacha uchi kabisa... Vazi la chumbani... HUU SI UDHALILISHAJI...?

MKO WAPI WATU WA HAKI ZA WANAWAKE...?

MBONA BINTI WA KIISLAAM AKIVISHWA VAZI LA HESHIMA MNASEMA ANABANWA ANANYIMWA UHURU WAKE... UHURU WENYEWE NDIO HUU WA UDHALILISHAJI?

Aiseee tumbo limejaa la Nandy
 

HAKUNA WANAHARAKATI WA JINSIA TANZANIA; WALIOPO NI NJAA YA​

1.PESA, NA
2.UMAARUFU


MWANAMKE AKIPIGA PICHA ZA UCHI NA KUSAMBAZA , WAPO KIMYAAA
MWANAMKE AKIUA MTOTO WA KAMBO ,WAPO KIMYAAA
MWANAMKE NDIYE ANAYEONGOZA KUCHEZA UCHI MITANDAONI, KUVAA UCHI MITAANI, WAKO KIMYAA
MWANAUME AKILAWITI WATOTO, WAPO KIMYAA
ULE UFIR.AJI WA KULE KISIWANI, USHAWAHI SIKIA KUNA MTU NAPAZA SAUTI? WAKO KIMYAA

HAWA UKITAKA KUJUA KAMA WAPO, WE PIGA KOFI MWANAMKE....
WATAITA PRESS, WATATOA MATAMKO, WATAPATA MIALIKO YA KUZUNGUMZA KWENYE VITUO VYA REDIO NA TV, NA MAGAZETI..!!!!
 
Back
Top Bottom