YA MUHIMU zaidi ya mauza uza ya Rais aliyeenda Mirembe, kwenye mazungumzo yake Anthony Diallo alisema:
Katika nchi zetu za Kiafrika Li Katiba linaweza likawekwa pembeni na watu wakaemdelea na ya kwao tu... mtamfanya nini?
Kwani 2005 Zanzibar hakukuwa na Tume Huru? Hakukuwa na CUF kwenye tume yo Jecha? Na nini kilitokea?
Kwani Katiba ya sasa inaruhusu mtu kuwekwa Butimba miaka na miaka bila hukumu? Hawafanyi ?
Hivi yule Donald Trump angekuwa Afrika mngemtoa Ikulu? Mngemfanya nini?
Katika nchi zetu za Kiafrika Li Katiba linaweza likawekwa pembeni na watu wakaemdelea na ya kwao tu... mtamfanya nini?
Kwani 2005 Zanzibar hakukuwa na Tume Huru? Hakukuwa na CUF kwenye tume yo Jecha? Na nini kilitokea?
Kwani Katiba ya sasa inaruhusu mtu kuwekwa Butimba miaka na miaka bila hukumu? Hawafanyi ?
Hivi yule Donald Trump angekuwa Afrika mngemtoa Ikulu? Mngemfanya nini?