Wanaharakati wa Katiba Mpya, jibuni hoja za Anthony Diallo

No katiba mpya inatakiwa iseme mtu akiivunja apewe adhabu Kali
. watawala wataogopa. Kinachotokea nikwamba kunakua na rope holes zinazo wapa unafuu wavunjaji wa katiba iliyopo
Rope holes [emoji735]
Loopholes. [emoji3514]
 
Kuna miaka nyuma kidogo ilikuwa kosa jinai kukutwa na katiba ya JMT....watawala ni wajinga sana walijenga hofu kubwa sana....kuna mama mmoja aliwahi fuatwa hadi kijijini huko sumbawanga kisa alipewa katiba kwenye kongamano moja hapo Morogoro sasa kazi ilikuwa kuhakikisha wanapora katiba zote walizopewa.....nilishangaa nguvu iliyotumika...wakati madukani zinauzwa
 
Watu wafundishwe na kueleweshwa Katiba ya sasa. Wakaishakuielewa ndipo masuala yA katiba mpya ama la ndiyo yafuatwe.

Ukimuuliza, Sukununu, katiba ya sasa ina mapungufu gani, anaangalia pua, hana chakujibu. Hakuna hata kifungu kimoja anaweza kukifafanua!!!

Bila kuelimisha wananchi wote kuelewa katiba ya sasa, mchakato wa kubadilisha katiba utatekwa na mamluki wenye ajenda zao za siri!

Kwa hiyo, wanasiasa ningawaelewa sana kama kweli wana nia ya dhati ya wananchi wakishiriki mchakato wa katiba iwapo wangeanza kampeni ya miaka mitatu kuwafundisha na kuwaelewesha wananchi katiba ya sasa.
 
Mkapa alishika nyadhifa za juu mbali mbali maccm ba Serikalini. Unadhani ni kwanini alitaka uchaguzi wa 2020 usimamiwe na Tume huru? Warioba na Butiku walishika nyadhifa za juu mbali mbali ndani ya Serikali zilizopita unadhani kwanini hawa wanapigia debe Katiba mpya!?



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…