Wanaharakati wa mambo ya afya ifike sehemu mseme tusile kabisa ili kuepukana na magonjwa. Mnazunguka sana.

Wanaharakati wa mambo ya afya ifike sehemu mseme tusile kabisa ili kuepukana na magonjwa. Mnazunguka sana.

Matongee

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2023
Posts
1,056
Reaction score
2,729
Hawa ndugu wa Janabi kuna wakati wanazingua balaa. Yaani kila mtu anajitokeza na kusema tusile hili wala tusile kile. Nimekuta huyu mmoja huko Twitter anadai tusile ugali, wali na kitu chochote kinachotokana na ngano. Kama vipi ifike sehemu waseme tusile kabisa kama kila kitu hakifai.
Kaandika hivi;

Siri 7 za kiafya zilizonifanya imara zaidi:

1. Kufuta kitu inaitwa breakfast.

2. Kula mara 2 tu kwa siku.

3. Kuacha soda, sukari n.k

4. Kuacha ngano, ugali na wali

5. Kufanya mazoezi kila wiki

6. Kula ninapohisi njaa

7. Kula chakula badala ya bidhaa

#KuwaWaMaana

Screenshot_20240615-220039_X.jpg
 
Achana nao
Kula unachopenda na kile ulichonauwezo nacho

Haya mengine sio mhimu
 
Angalia yale ambayo kiafya kweli yana madhara na mengine achana nayo
 
Back
Top Bottom