Wanaharakati wanaotetea makahaba, wataanza kutetea na mashoga kwa kigezo cha faragha, tuwapinge kwa nguvu zote

Wanaharakati wanaotetea makahaba, wataanza kutetea na mashoga kwa kigezo cha faragha, tuwapinge kwa nguvu zote

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Screenshot_20240619-162742.png

Nimeona mtandaoni watu wengi wakiwamo wanasheria na wanaharakati wakitetea makahaba waliokamatwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo

Ukahaba ni kinyume na maadili yetu watanzani na umekatazwa kwenye vitabu vyote vya dini

Sasa unapokuta mtetezi wa hao watu wanaofanya vitendo viovu unajiuliza dunia inakwenda wapi?

Wanadai kuwakamata ni kuingilia faragha za watu, sasa hata mashoga basi tusiwakamate kwa sababu ni kuingilia faragha zao pia?

Wengine utawasikia wakisema kuwa wanaojiuza wana maisha magumu, huu ni upumbavu, kwani wamama wanaouza magenge, wanaofanya usafi, wanaolima, kuosha vyombo n.k hawana maisha magumu kuliko hao makahaba?

Tumekataza ushoga na tunaupinga kwa nguvu zote kwa sababu ni kinyume na maadili yetu, kwa nini ukahaba tunashindwa kuukemea?

PIA SOMA
- Vita ya DC Ubungo na Makahaba: Mgongano wa sheria, haki na maadili

- Kuna kesi ya udhalilishaji kama wale walioonekana kwenye video ya kukamata makahaba watapata mwanasheria mzuri

- Vigezo gani anavitumia DC wa wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko kuvamia kumbi za starehe na nyumba za wageni kukamata watu anaodai ni makahaba?
 
Matatizo ya Africa wala sio ushoga na ukahaba , matatizo ya Africa ni matumizi mabaya ya mali za uma kwa hawa viongozi wetu tuliowapa dhamana ya kutuongoza au kujichukulia mamlaka kimabavu.
 
View attachment 3020801

Nimeona mtandaoni watu wengi wakiwamo wanasheria na wanaharakati wakitetea makahaba waliokamatwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo

Ukahaba ni kinyume na maadili yetu watanzani na umekatazwa kwenye vitabu vyote vya dini

Sasa unapokuta mtetezi wa hao watu wanaofanya vitendo viovu unajiuliza dunia inakwenda wapi?

Wanadai kuwakamata ni kuingilia faragha za watu, sasa hata mashoga basi tusiwakamate kwa sababu ni kuingilia faragha zao pia?

Wengine utawasikia wakisema kuwa wanaojiuza wana maisha magumu, huu ni upumbavu, kwani wamama wanaouza magenge, wanaofanya usafi, wanaolima, kuosha vyombo n.k hawana maisha magumu kuliko hao makahaba?

Tumekataza ushoga na tunaupinga kwa nguvu zote kwa sababu ni kinyume na maadili yetu, kwa nini ukahaba tunashindwa kuukemea?
kama kigezo cha kufanya ukahaba ni uduni wa maisha, inamaana hata leo mashoga wakija na sababu hiyo watawatetea kwa nguvu zote.

naunga mkono hoja hao wanaharakati tuwapinge kwa nguvu zote
 
Back
Top Bottom