Wanaharakati wanaotetea makahaba, wataanza kutetea na mashoga kwa kigezo cha faragha, tuwapinge kwa nguvu zote

Hivi mahakamani watashtakiwa kwa kosa gani? Kama haki ikitendeka watashinda. Walikuwa kwenye faragha na wala sio kujiuza. Hata kama ni kujiuza, mbona sijasikia mtu kashtakiwa kwa kuuza figo yake?
Unamjua mtu yupi akiuza figo?
 
Sioni sabau ya kuwakemea km KATIBA inaruhusu. Watu mkiambiwa badilisheni KATIBA mnaleta story za vijiweni kwamba WATANGANYIKA hawataki KATIBA mpya wanataka maendeleo. Haya ndiyo MAENDELEO yenyewe sasa.
 
Nchemba na Kizimkazi hela zote za mikopo wanaiba. Sukari zinapewa tenda kampuni za simu kununua ili fungu lifike kwa Bashe.

Waacheni tu hao dada poa wajipatie kipato huku wananchi tukijitoa stress kwao
Tupunguze ujuaji, mbona miaka yote hata BAKWATA ina kibali cha kuagiza sukari.
 

Hatutetei ukahaba ila tunapinga kufanya vitu vya kijinga kwa mihemko. Unataka kuniambia hapo Ubungo kero za maji na miundombinu mibovu umemaliza kuitatua mpaka uhamie kwenye ukahaba?
Ulishawahi kukaa na wananchi wa wilaya yako ukauliza matatizo yao wakakwambia ni “Ukahaba?” Huo ushamba wako wa Tarime usituletee town.
 
Kwa hiyo kisa kuna kero za maji tiache watu waharibu jamii kwenda kujiuza mchana, ushawahi kwenda Sinza ukaona kero ya makahaba?
 
Kwa hiyo kisa kuna kero za maji tiache watu waharibu jamii kwenda kujiuza mchana, ushawahi kwenda Sinza ukaona kero ya makahaba?

Wana kero gani? Wakipita unasimamamisha ovyo? Hizo sasa mkuu si ni nyege zako!!
Why usianze kuwawezesha kwa mikopo, ukaita na wakufunzi wawape mafunzo ya ujasiliamali kuliko hizo telemundo ambazo hazina tija kwa wananchi.

Be a leader who is not driven by emotions
 
Wenzenu wanapigania kupunguzwa kwa kodi huko nyie kamasi zinawatoka kwenye umalaya, ushoga na porojo nyingine za utamaduni, what a shame!
 
Ndio point yangu, watetezi wa makahaba pia ni watetezi wa mashoga, wewe ni shahidi wa point yangu
Wamethitishwa na mahakama gan kwamba ni makahaba? Au mnawahukumu tu kienyeji? Kuna sehemu kwenye kusimamia maadili tumefail kama taifa tutafute wapi tulipojikwaa then tusonge mbele
 
Wenzenu wanapigania kupunguzwa kwa kodi huko nyie kamasi zinawatoka kwenye umalaya, ushoga na porojo nyingine za utamaduni, what a shame!
fanya linalowezekana, wao wanapigania kwa maandamano na serikali inawashikilia, kama unaona ni kitu rahisi nawe andamana yakukute ya akwelina.
 
Ukiona nchi inaficha mikataba yake Kwa wananchi ujue kuna USHOGA
 
Serikali isirudi nyuma, maadili yetu lazima yalindwe kwa gharama yoyote ile. Malaya lazima waache hiyo biashara.
Tuko pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kwa jitihada anazo zifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…