Wanaharakati wapingaji wa kazi na wafuasi wakubwa wa Magufuli, kazi nyingine ya kupinga kazi zake hii hapa

Wanaharakati wapingaji wa kazi na wafuasi wakubwa wa Magufuli, kazi nyingine ya kupinga kazi zake hii hapa

Pslmp

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2021
Posts
1,622
Reaction score
2,458
Nawaonea huruma wanaharakati wa Tanzania ambao wamejitwika zigo la misumari vichwani mwao kuhakikisha kazi na sifa njema za aliyekuwa Raisi wetu JPM wanazipinga na kuwakwamisha wote waliokuwa wafuasi wake kama wanavyajaribu kwa mwanamziki wa kimataifa wa Kitanzania Maarufu kwa jina la Daimond kumchafua.

Nasema wanakazi ngumu kwa sababu, wakijaribu kupinga hili linaibuka jingine tena, na hivyo naendelea kuwakumbusha tena, Kuna Eneo pale Makao makuu ya nchi yetu Dodoma, kuna mtaa ambao umepimwa na tayari upo katika hatua nzuri za ukamilishaji ukiitwa kwa jiba la Magufuli City.

Kazi yenu tena kudili na wanaohusika kumpa JPM jina la mtaa huo ili hali ungeweza kuitwa kwa jina la Kamanda mmoja wapo kama Mbowe au Lema na au Msigwa!!

Kazi kwenu tena kuhakikisha Jina la Magufuli halitajwi kabisa sehemu yoyote ile Tanzania.

Nawaambia enyi wanaharakati wanafiki sizani kama mtaweza kupambana na huyo hayati Mwamba, Jembe JPM ambaye licha ya kutokuwa nasi ktk mwili huu, lakini bado anawaogopesha wote wanasiasa njaaa!!
 
Nawaonea huruma wanaharakati wa Tanzania ambao wamejitwika zigo la misumari vichwani mwao kuhakikisha kazi na sifa njema za aliyekuwa Raisi wetu JPM wanazipinga na kuwakwamisha wote waliokuwa wafuasi wake kama wanavyajaribu kwa mwanamziki wa kimataifa wa Kitanzania Maarufu kwa jina la Daimond kumchafua.

Nasema wanakazi ngumu kwa sababu, wakijaribu kupinga hili linaibuka jingine tena, na hivyo naendelea kuwakumbusha tena, Kuna Eneo pale Makao makuu ya nchi yetu Dodoma, kuna mtaa ambao umepimwa na tayari upo katika hatua nzuri za ukamilishaji ukiitwa kwa jiba la Magufuli City.

Kazi yenu tena kudili na wanaohusika kumpa JPM jina la mtaa huo ili hali ungeweza kuitwa kwa jina la Kamanda mmoja wapo kama Mbowe au Lema na au Msigwa!!

Kazi kwenu tena kuhakikisha Jina la Magufuli halitajwi kabisa sehemu yoyote ile Tanzania.

Nawaambia enyi wanaharakati wanafiki sizani kama mtaweza kupambana na huyo hayati Mwamba, Jembe JPM ambaye licha ya kutokuwa nasi ktk mwili huu, lakini bado anawaogopesha wote wanasiasa njaaa!!
pesa alitoa zake mfukoni? au zetu walipa kodi? Serikali zote zilizopita ni za CCM ila kodi ni yetu wananchi masikini walalahoi
 
Nakumbuka Rais Mstaafu wa Kenya aliwahi kufanya ziara hapa Bongo na kuna barabara ikapewa jina lake. Sina hakika kama hilo jina linatumika tena kwenye hiyo barabara
 
Nawaonea huruma wanaharakati wa Tanzania ambao wamejitwika zigo la misumari vichwani mwao kuhakikisha kazi na sifa njema za aliyekuwa Raisi wetu JPM wanazipinga na kuwakwamisha wote waliokuwa wafuasi wake kama wanavyajaribu kwa mwanamziki wa kimataifa wa Kitanzania Maarufu kwa jina la Daimond kumchafua.

Nasema wanakazi ngumu kwa sababu, wakijaribu kupinga hili linaibuka jingine tena, na hivyo naendelea kuwakumbusha tena, Kuna Eneo pale Makao makuu ya nchi yetu Dodoma, kuna mtaa ambao umepimwa na tayari upo katika hatua nzuri za ukamilishaji ukiitwa kwa jiba la Magufuli City.

Kazi yenu tena kudili na wanaohusika kumpa JPM jina la mtaa huo ili hali ungeweza kuitwa kwa jina la Kamanda mmoja wapo kama Mbowe au Lema na au Msigwa!!

Kazi kwenu tena kuhakikisha Jina la Magufuli halitajwi kabisa sehemu yoyote ile Tanzania.

Nawaambia enyi wanaharakati wanafiki sizani kama mtaweza kupambana na huyo hayati Mwamba, Jembe JPM ambaye licha ya kutokuwa nasi ktk mwili huu, lakini bado anawaogopesha wote wanasiasa njaaa!!
Kabisa. Magufuli Mwana mwema wa Africa. Chuma ,jembe legendary!Aliyoyafanya tunayajua wala hatuhitaji kukumbushwa.. Hao wezi, wazembe, mafisadi majizi watazidi kuumia vya kutosha
 
Kabisa. Magufuli Mwana mwema wa Africa. Chuma ,jembe legendary!Aliyoyafanya tunayajua wala hatuhitaji kukumbushwa.. Hao wezi, wazembe, mafisadi majizi watazidi kuumia vya kutosha
Hatimaye kibao kimegeuka! Mtaishi maisha magumu sana Team Magufuli aka MATAGA! Mlikula enzi za Mtukufu wenu, ni zamu ya wale mliowaita wapiga dili, nao kula.

All in all, ccm yote imejaa wezi, mafisadi, wahujumu uchumi, wapiga dili, nk. Sidhani kama kuna mwadilifu hata mmoja ndani ya hicho chama.
 
Back
Top Bottom