Nlidhani wabongo tu ndiyo wanashikilia bango kwa mond kumbe hata wanaija wanamsema burna boy. Nimecheka kichizi hapo kwenye diddy's oil dey work oooooWanaijeria waanza upya kurusha madongo kwa Burna Boy wakidhihaki muondoko wake tata akiwa jukwaani
Wanaijeria wamedai kuwa muondoko wake akiwa stejini unafanana na wa G*Y huku wakidai shutuma zake juu ya P Diddy zilikuwa za kweli na wala hawahisi kama walimuonea
Wengine wamedai mtu akishakuwa G*Y hata akanushe kiasi gani huwa tabia hizi hazijifichi ipo siku zinadhihirika
Tazama Video pamoja na Screenshots za Wanaijeria
View attachment 3183238View attachment 3183239
Hata Nasibu wetu hahaha futa la didy noma hata tale hahaha, yaani usenge umeletwa makusudi kupunguza vizaziItakuwa P-Diddy effect 😜
Vijana wanaona raha kuchezea tope, hawajui wanapunguza uwezo wa kuzalianaHata Nasibu wetu hahaha futa la didy noma hata tale hahaha, yaani usenge umeletwa makusudi kupunguza vizazi
Asee jamaa anawekwa kifo cha mende na analiwa dadadeki, ila anayemla ana roho ngumu sana hiyo sura ya kima lakini analiwa vizuri tuSema itakua umbea tu. Ila burna jamaa serious ni shoga, huu upuuzi ulianza toka enzi yupo na steflon zile kauli za steflon mwamba kuwa na uume mdogo, kukosa nguvu za kiume, ni dhahiri mwamba ni shoga, na muda mwingi amekua mtu wa kazi na familia yake haswa mama na si mahusiano ya kimapenzi na mwanamke anayefahamika. This goes to diamond sikuhizi amekua mtu wa kazi sana, na muda mwingi anajificha kwenye mgongo wa mahusiano na zuchu lakini hana mahusiano yanayoeleweka.
Ila burna boy ni shoga, thou the video si issie maana hype aliyotumia hapo body language lazma iwe hivo. anatembea, Mkono wa kulia umeshika mic, mkono wa kushoto upo stationary na mapafu na Koo yanatoa hype tena ya maneno mazito kama hayo.
"IF YOU WANNA FUCKING FEEL THE VIBE TONIGHT, LEMME HERE YOU SAY BUUUUURNAAA"
Maneno yanatumia sana nguvu ya mwili hayo.
Sura kama ile unapata wapi hisia za kudindisha ?Anaband*l*w*
Humjui burnaboy ww. Bongo hapo mtafute msanii mkubwa yyte kama jux au diamond tu, kwaangalie live uwaone. Ni wazuri kwelikweli, achana na picha.Asee jamaa anawekwa kifo cha mende na analiwa dadadeki, ila anayemla ana roho ngumu sana hiyo sura ya kima lakini analiwa vizuri tu
Ni english "creole" si pure english na creole huwa inatokana na pidgin pidgin huwa inatokana pale ambapo makundi mawiki ya watu wanaoongea lugha mbili tofauti kutengeneza lugha mseto ambayo itatumika katika mawasiliano baina yao.Nigerians uandishi wao wa english huwa unanishangaza sana.
Tafuta hela mkuu wivu hautakusaidia kutoa kwenye umasikini ulionaoMtu kama Burna akiliwa huwa analiaje sasa, anasema ingiza yote au😁
Njaa inakusumbua ukipata hela hutoandika hivyo vitu najua unajifariji kwenye wimbi la umasikini ulionaoHela za wapi tena manake mm nshajitosheleza au nimhonge dada Burna??
Endelea kujiburudishaJF napitaga humu kujiburudisha napenda sana dhihaka nataka taarifa zenye chumvi
Sio dialect? Pidgin ni kitu tofauti kabisa,Inaitwa pidgin English. Ni kiingereza ambacho kimechanganyika na lugha zao za asili.
Nilishangaa hadi bbc ya Nigeria wana uandhishi huo huo, duh!Ni english "creole" si pure english na creole huwa inatokana na pidgin pidgin huwa inatokana pale ambapo makundi mawiki ya watu wanaoongea lugha mbili tofauti kutengeneza lugha mseto ambayo itatumika katika mawasiliano baina yao.
Sasa kizazi cha pili kitakachotokana na hayo makundi mawili wataridhi pidgin kama lugha yao asili na sasa itabadilika na kuitwa "creole" sasa kama hiyo creole itapata waongeaji wengi kufikia level ya nchi na kutumiwa kama lugha halisi ya nchi husika na biashara basi itaitwa LINGIA FRANCA.
Yeah ile inaitwa " patois" ni lingua franca pia ni mchanganyiko wa lugha nyingi tu ukiacha kiingereza inaongelewa sana nchi za carribean jamaica na nyenginezo i.e trinidad na costa rica pia .Nilishangaa hadi bbc ya Nigeria wana uandhishi huo huo, duh!
Ina maana hata ile English ya Jamaicans tuseme ni LINGIA FRANCA kama usemavyo?