WanaJamiiForums tumeonyesha Ubinafsi wetu kwa Pascal Mayalla, tumeshindwa kumpigania kwa kumpamba

WanaJamiiForums tumeonyesha Ubinafsi wetu kwa Pascal Mayalla, tumeshindwa kumpigania kwa kumpamba

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Ukweli wanaJamiiForums kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni. Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete.

Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na JF angesimama na JF!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
 
Hapana Hawa wanabadilika, kumbuka polePole na Bashiru wa katiba mpya, usijeshangaa yeye akawa waziri wa habari halafu akawa wa Kwanza kutunga sheria za kutubana na pengine kuifuta kabisa. Hii yote Ni kwa sababu jamaa Ni mnafiki original.
 
Mkuu wahuni WAMEKWIBA pw yako!? Inakuwaje hadi uandike hivi kuhusu huyo MNAFIKI anayetafuta teuzi kwa nguvu zote!?
😳😳😳😳

Ukweli wana Jamii forum kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni.

Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete. Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na Jf angesimama na Jf!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
 
Ukweli wana Jamii forum kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni.

Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete. Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na Jf angesimama na Jf!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
Alipata kura yangu bwashee!
 
Ukweli wana Jamii forum kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni.

Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete. Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na Jf angesimama na Jf!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu,
Aliamua kuunga mkono upande wa shetani ulitaka na sisi tuunge mkono hayo mashetani ya kijani ?
 
Nikweli
Ukweli wanaJamiiForums kwa gwiji wetu Pascal Mayalla tumeonyesha chuki ya wazi ikiwemo mimi, namuomba radhi.

Ingawa Pascal ni CCM ila alikuwa hana ule u CCM kama makada wengine. Pasco ni mhanga wa mambo mengi yaliyotokea kwenye utawala huu ikiwemo kusitishiwa tenda zake muhimu zilizokuwa zikimpa ugali na watoto kwenda chooni. Pamoja na wengi wetu kujua kuwa Pasco alitia nia, tulijitenga naye na kwa hapa hatukuwaza vizuri.

Ingekuwa vizuri sana kwa Pasco kuweo bungeni kuliko mwana CCM yeyote yule na jukwaa letu hili pendwa lingepata sauti kubwa bungeni. Ndiye mwanajamii forum pekee aliyejitokeza hadharani na kuitaja Jamii forum tena kwa herufi kubwa. Hakuna mpinzani wala mwana CCM yeyote aliyewahi na hadi sasa hakuna.

Kumkosa Pasco bungeni ni huku tukijua kuwa alikuwa akiipa Jf kipaumbele cha kwanza kabisa, pia huku sisi tukijibaragaza humu tulishindwa kabisa kumfanya asikike walau hata kwa kumuanzishia vi thread vya kumpamba, tumecheza vibaya. Pia Pasco ni mwana CCM ambaye anaiheshimu sana katiba, hapa jukwaa letu kama ikitokea likaguswa huyu angesimama kidete. Sauti ya mwanaccm mmoja inasikika pale anapopinga kitu kuliko sauti ya wapinzani 1000. Tumemkosa mwanaccm nyutro na huenda tukaja kuona madhara yake baadaye! Huyu asingeegemea chama! Huyu kati ya chama na Jf angesimama na Jf!

So sory bro, tumekukosea na nikiri kuwa hakuna tena mwanaccm wa aina yako ambaye tungempata ndani ya bunge lijalo.
 
Pascal hana tofauti na Musukuma,Nkamia au Kangi ni team lamba viatu by nature

angalia kalamu yake inavyogeukageuka,hana moja analoliamini...ajabu zaidi hata kura hakujipigia

na laiti aje aingie mjengoni JF italazimishwa kuwa kama gazeti la Uhuru kama si tbccm
 
Back
Top Bottom