DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Na warembo wote humu ndani ni NEGATIVE Hawana STIsNa kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.
Halafu nilitaka kusahau!!! Humu kila mtu daktari na mwanasaikolojia.Unasumbuliwa na msongo wa mawazo, Muone Dr haraka
Una tatizo...
Eee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na warembo wote humu ndani ni NEGATIVE Hawana STIs
Eee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaa.Hio picha kwa DP yako nimeielewa
Amka boya ukakojoe, kunakoelekea utaota unataga,Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.
Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.
Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.
Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.
Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.
Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.
Ukome kunisingiziaHumu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.
Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.
Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.
Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.
Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.
Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.
Tafuta pesa mzee wangu.Na mimi niuze kiwanja changu cha korongoni ninunue walau nipige Boda boda kama UMUGHAKA
Land cruiser Prado niwaachie akina Ndugu mkandarasi wawasikie warembo
View attachment 2510146
Mkuu hizo mbegu za mahindi bora ungezilia kama ugaliNa mimi niuze kiwanja changu cha korongoni ninunue walau nipige Boda boda kama UMUGHAKA
Land cruiser Prado niwaachie akina Ndugu mkandarasi wawasikie warembo
View attachment 2510146
mawazo ya wanaume wa KinondoniMkuu hizo mbegu za mahindi bora ungezilia kama ugali
HAHAHAHAHAAHANa warembo wote humu ndani ni NEGATIVE Hawana STIs
Ukipauza hapa utakunywa wiski na tekila kweli kweli. Landukruza na kama unavyodai utakula matunda kwa masihara!
Na mimi niuze kiwanja changu cha korongoni ninunue walau nipige Boda boda kama UMUGHAKA
Land cruiser Prado niwaachie akina Ndugu mkandarasi wawasikie warembo
View attachment 2510146
Shenzi! Mi mwenyewe hapa nilipo ni HOUSE BOY sina hata baiskeli halafu unasema wote tuna gari!!!Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.
Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.
Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.
Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.
Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.
Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.