DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.
Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.
Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.
Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.
Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.
Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.
Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.
Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.
Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.
Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.
Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.