WanajamiiForums wote tuna Landcruisers

WanajamiiForums wote tuna Landcruisers

DIVISHENI FOO

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2023
Posts
1,440
Reaction score
3,142
Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.

Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.

Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.

Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.

Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.

Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.
 
Na mimi niuze kiwanja changu cha korongoni ninunue walau nipige Boda boda kama UMUGHAKA

Land cruiser Prado niwaachie akina Ndugu mkandarasi wawasikie warembo
IMG_20230208_104025_057.jpg
 
Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.

Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.

Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.

Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.

Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.

Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.
Amka boya ukakojoe, kunakoelekea utaota unataga,
 
Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.

Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.

Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.

Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.

Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.

Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.
Ukome kunisingizia
 
Humu hakuna makapuku wala-vumbi. Ni mtandao wa mataita wenye pesa chafu.

Huwezi kukuta mshiriki wa jamiiforums anamiliki vigari vya hovyo hovyo kutoka china.

Humu wote tunamiliki landcruisers na magari mengine yenye hadhi ambayo ni chuma kweli kweli.

Na kwa kuongezea pia, wote humu tuna nguvu za kiume na tuna DEGREE.

Hii inajithibitisha hata kwenye ule uzi wetu wa tunda la kimasihara, huwezi kukuta mtu ameopoa mtoto sehemu za hovyo hovyo. Wote tuliopoa watoto sehemu zenye hadhi tukiwa tunakunywa WISKI na TEKILA.

Hongera Jamiiforums kwa kuwa KITALU cha watu mashuhuri.
Shenzi! Mi mwenyewe hapa nilipo ni HOUSE BOY sina hata baiskeli halafu unasema wote tuna gari!!!
 
Back
Top Bottom