Wanajamvi

Khaa
babu Asprin
Hana shida yeyote
Kawalea,kawatunza
Kawakagua,kawaponya
sasa mnamgeuka khaaa
kweli hichi ndo kizazi cha dot. Com
hahahahahahahah lol
 
Khaa
babu Asprin
Hana shida yeyote
Kawalea,kawatunza
Kawakagua,kawaponya
sasa mnamgeuka khaaa
kweli hichi ndo kizazi cha dot. Com
hahahahahahahah lol
Unasemaje unataka ulale nje ya nyumba leo, au unataka Kungu Fu Panda nimeishasema huyo Babu hafai
 
Khaa
babu Asprin
Hana shida yeyote
Kawalea,kawatunza
Kawakagua,kawaponya
sasa mnamgeuka khaaa
kweli hichi ndo kizazi cha dot. Com
hahahahahahahah lol

Afrooo, hebu soma hii hapa chini kwa sauti:

The Following User Says Thank You to afrodenzi For This Useful Post:

(Babu)Asprin (Today)
 
mhh watu kwa majidai kha1...karibu sarafina.

Karibu mwali hapa ndio mwisho wa matatizo


Babu wajukuu wanakuonea wivu!
 
Sasa sarafina1 ushakaribia....now to business....
Umesema unampendaga RR?

Nampendaga Mt. RR sasa sijui wewe na st. rr mna uhusiano wa karibu au
 
Unasemaje unataka ulale nje ya nyumba leo, au unataka Kungu Fu Panda nimeishasema huyo Babu hafai

Kila kukicha
Waniambia huyu
babu hafai hunipi
sababu khaa
Ebu nipe sababu moja
ili niache kumtetea
maana wa jua sintaacha hivi hivi
hahahha lol
 
Kha! Finest mbona unampinga babu kwa nguvu zote kakusoeani?
Ngoja nisiseme sasa hivi ngoja ukae humu uzoee halafu utajua kwanini nilikuwa nampinga kwa nguvu wewe hauoni hata Lizzy alivyokuwa anampinga
 
Babu wajukuu wanakuonea wivu!
Usisikilize ya watu mama, tutatengana.

Kha! Finest mbona unampinga babu kwa nguvu zote kakusoeani?
Huyu Sharobaro Finest asikusumbue mpenzi...we njoo huku ukate kucha za babu kwa meno. Nilioga juzi, usihofu

Ngoja nisiseme sasa hivi ngoja ukae humu uzoee halafu utajua kwanini nilikuwa nampinga kwa nguvu wewe hauoni hata Lizzy alivyokuwa anampinga
Aisee we dogo......kapange viti kule.
 
Afrooo, hebu soma hii hapa chini kwa sauti:

The Following User Says Thank You to afrodenzi For This Useful Post:

(Babu)Asprin (Today)

Sante babu
mie leo nadhani
Talaka iko njiani
Maana huyo mume wangu
Mmmhhh
Hahahahahahahah
Borea hata unanifariji na hizo senks haha lol
 
Kila kukicha
Waniambia huyu
babu hafai hunipi
sababu khaa
Ebu nipe sababu moja
ili niache kumtetea
maana wa jua sintaacha hivi hivi
hahahha lol
Lol!!!! Khaa yaani unataka kujifanya haujui wewe jifanye kujisahaulisha tu
 
Karibu Sarafina ,
Tuko pamoja sana kama samaki na maji
 
Sante babu
mie leo nadhani
Talaka iko njiani
Maana huyo mume wangu
Mmmhhh
Hahahahahahahah
Borea hata unanifariji na hizo senks haha lol
Nilikuambia mapema kuwa huyo bwana ni mdanganyifu, hodari sana wa kuoa na kuacha hukutaka kunisikia
Leo umeona mwenyewe!

Piga chini huyo sharobaro, rudi kwa babu. Kitanda chako bado hakijampata mrithi....Ila kama una mimba, itoe kwanza....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…