Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani chetuntu ushaanza nionea wivu mara hii
Habari zenu wanajamvi, ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya.
Mmmmhhhbhh
Babu ngoja nikambembeleze
baba watoto...
nisijepewa talaka bure..
Lol
acha wivu na uzee wote huo miaka 80.huyu sarafina namwepusha kwenye makucha haramu ya kina finest
btw hii via mobile ndo kusema uko wapi vile?
acha wivu na uzee wote huo miaka 80.
Haya macho ya kawaida katika kufuatilia ishu za hapa ndani!Nashukuru sana katavi ila umetoa macho hapo mpaka naogopa mwenzio
He!! Kumbe ni kabinti nilidhani ni bibi!babu huyo sio babu mpendwa, angalia asikubabue hahahaa. Karibu mwaya me ndio Chetuntu, kabinti kapole, kazuri, kacheshi.
sarafina karibu sana,usimkubali babu na sisi vijana tupo
babu huyo sio babu mpendwa, angalia asikubabue hahahaa. Karibu mwaya me ndio Chetuntu, kabinti kapole, kazuri, kacheshi.
sarafina karibu sana,usimkubali babu na sisi vijana tupo
acha niwasiliane na sekretari wangu husninyo halaf tukupatie appointment ofisini. consider you financial disability solved.Halafu ulijuaje nina matatizo ya kifwedha klorokwini? sa nitakupataje my kaka
Hujambo Binti?jambo? Alinitisha sana.