Wanajamvi

Wanajamvi

sarafina karibu sana,usimkubali babu na sisi vijana tupo

Jamani asante wit ni kweli vijana wanavutia kama wewe hapo ila naogopa, mtanitenda bora nijisogeze kwa babu, wababu wanajua kulea/bembeleza kwa vijana naogopa ugonjwa wa moyo. Unaweza pata kisukari kupitia maumivu ya moyo
 
babu huyo sio babu mpendwa, angalia asikubabue hahahaa. Karibu mwaya me ndio Chetuntu, kabinti kapole, kazuri, kacheshi.

Asante chetuntu binti mrembo mpole, avatar yako tu inavutia ile mbaya. Babu ashasema hana madhara ngoja nikajaribu nione
 
Karibu sana Sarafina1......tunafurahi kujiunga na wewe na tunakupenda sana
 
acha niwasiliane na sekretari wangu husninyo halaf tukupatie appointment ofisini. consider you financial disability solved.

hehehehe haya bwana, ngoja nisubiri kwani subira yavuta heri
 
acha niwasiliane na sekretari wangu husninyo halaf tukupatie appointment ofisini. consider you financial disability solved.

WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.
 
Back
Top Bottom