Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Magego ya babu yanang'ata AD
Hata wewe?
Haloo mpenzi, niko kona ya mwisho hapaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magego ya babu yanang'ata AD
Nampendaga Mt. RR sasa sijui wewe na st. rr mna uhusiano wa karibu au
shikamoo babu napita tu , najua jioni ntakupata wapi! Liner park.
Hahaha...marahaba kajukuu.
Na hii posting Via Mobile inaashiria uko kikazi zaidi.
Umwambie Josefina akupe kesto laiti mbili baridi kwa bili yako, afu ntakuja kulipa. sawae?
babu nipo kwenye dose ya babu, halaf naona huyu Sarafina huyu hayaa.
Lol!!!! Khaa yaani unataka kujifanya haujui wewe jifanye kujisahaulisha tu
Hahahahahahahah
umenichekesha
Eti jifanye kujisahaulisha
Dahh hii kali ya mwaka..
Magego ya babu yanang'ata AD
Jamani FL1
Mie nilidhani
Yanatekenya mmhhh
Nilikuambia mapema kuwa huyo bwana ni mdanganyifu, hodari sana wa kuoa na kuacha hukutaka kunisikia
Leo umeona mwenyewe!
Piga chini huyo sharobaro, rudi kwa babu. Kitanda chako bado hakijampata mrithi....Ila kama una mimba, itoe kwanza....
Huyu sarafina namwepusha kwenye makucha haramu ya kina Finest
BTW hii Via Mobile ndo kusema uko wapi vile?
Hahahahahahahah
Nimecheka mbavu za
uma sasa dahh..
JF kuna raha jamani
Mmmhh
Babu nimesahau
kumbe we hutaki vitukuu
Lol hahah
afro hujambo mama?ukinionea aliekuwa mtakatifu mpe salam
naelekea kazuramimba, heee kumbe TF ana makucha??
Afroo njoo nikutekenye
Afroo njoo nikutekenye
Halafu leo usipokuja Baa mpya, nakupiga talaka ya juu kwa juu!
Vitukuu vitamzeesha babu...babu bado anadai...babu bado ana nguvu za kiume...babu ni rijali