Kwanini wanamuziki,wasanii,wanamichezo wanapenda sana wasaidiwe,kwani nini kipi wamekifanya tofauti na watu wengine kama waalimu,waganga,askari,wakulima?wote tunalitumikia hili taifa na kila mtu anafanya kazi pia kwa ajili ya aisha yake,wao wamewachangia nani,nakumbuka Mzee Msuya aliwahi sema kila mtu atabeba msalaba wake,watu wakamjia juu,hapana kila mtu kwa hivi sasa ana msalaba wake,sidhani kama kuchangia kuna saidia kitu,naamini Gurumo ana familia yake ambayo ndio inatakiwa ibebe msalaba wake,kila mtu anashida ,maisha ni kujipanga,tena Gurumo yeye aliwahi ana nyumba nzuri na maisha mazuri tu na hata hela ameishika sana.na kila mtu aubebe msalaba wake mwenyewe,ukiwa na nguvu jitengenezee maisha ya mbeleni,somesha watoto wako ambao watakuja kukusaidia baadaye,kama kutumikia au kutangaza nchi kila mmoja wetu kwa njia moja au nyingine wote tumeshiriki,sio lazima tuwe wanasanaa au wanamichezo ndio tujulikane kama tumeitangaza nchi,hiyo ni dhana potofu.