Wanajeshi 2,000 wa Urusi wazingirwa, waomba waachiwe watoke kwa amani

Hao inabidi wadakwe halafu wakabadilishane na wale wanajeshi wa Ukraine walio jisalimisha.
 
Hamna kitu cha hatari kama kuingia kichwa kichwa kwenye nchi ya watu halafu haujajiandaa kwa vita vya muda mrefu.
Mi siku zote huwa nawaambia watu usimdharau mjinga.
 
Russia kama wangekuwa na wanajeshi takriban milioni moja wasingekuwa na sababu ya kufanya new recruitment.

Idadi kamili ya jeshi iliyonayo nchi waga inatiwa chumvi mno na mataifa mengi duniani na inaonekana nchi kama Russia wanajeshi walionao kama ni wengi ni laki nne tu.

Hivyo wanasajili vijana wapya ili pia kambi mbalimbali kule Russia zisibaki tupu.
 

Tupe source ya habari yako. Angalia usikojoe kitandani
 
Waliomba kwa kujitetea kwamba wao hawana kosa bali wanalazimishwa na Putin, na wanafamilia zinawategemea
Kama Ukraine wameishiwa vyumba vya kuhifadhi mateka, wawalete hapa Gamboshi tuwahifadhie mateka wao
 
mda uliopo ni mchache sana. zelensky ameimiss crimea huo mda wa kuhudumia mateka hatuna kwakweli.

cha msingi hao mateka wasimalizwe kabla ya kutuma jumbe za usia kwa familia zao.

nchi inahitaji mbolea ya kutosha
zele chinja......chinja usiogope jicha..... [emoji445][emoji444]
 
Hii imekaa vizuri
 
Tupe source ya habari yako. Angalia usikojoe kitandani
Hakuna nchi inaweza kuwa na wanajeshi milioni moja na eti bado inapeleka wafungwa vitani na kuchukua vijana wasio na kazi eti nao pia kuwapeleka vitani.

Russia kama wana wanajeshi wengi sana basi hawazidi laki nne ila wanapiga propaganda ionekane eti wana wanajeshi wengi sana lakini hivi vita vimewaumbua sana.
 
Hivi hao waliozingiriwa Toka July,mrejesho wake vipi?
 
Aje huyo MK254 atueleze zoezi la kuzingira liliishaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…