Wanajeshi 20,000 wa Urusi wadaiwa kuuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut, Ukraine

Wanajeshi 20,000 wa Urusi wadaiwa kuuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut, Ukraine

5523

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2014
Posts
2,275
Reaction score
2,410
Na BBC Swahili

d55ec63d-405a-4ff7-80f3-a1e530c1ea82.jpg

Vita vya Bakhmut, mji wa Ukraine ambao Urusi imetumia miezi kadhaa kujaribu kuuteka, "inaendela kwa utulivu", anasema kamanda mkuu wa Ukraine. Mapema mwezi huu, maafisa wa Magharibi walikadiria kati ya wanajeshi 20,000 na 30,000 wa Urusi waliuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut tangu msimu uliopita wa joto.

Lakini pamoja na hayo, Valerii Zaluzhnyi alisema "juhudi kubwa" za wanajeshi wa Ukraine zinairudisha nyuma Urusi.

Moscow ina hamu ya ushindi baada ya kushindwa kupata mafanikio makubwa katika siku za hivi karibuni.

Licha ya hayo, wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanaamini kuwa Bakhmut ina thamani ndogo ya kimkakati, na umuhimu wa jiji hilo sasa ni wa kiishara.

Katika mtandao wa Facebook, Luteni Jenerali Zaluzhnyi alisema kwamba wakati hali kwenye mstari wa mbele wa Ukraine "ni ngumu zaidi katika mwelekeo wa Bakhmut...kutokana na juhudi kubwa za vikosi vya ulinzi, tunafanikiwa kuleta utulivu."

Luteni Jenerali Zaluzhnyi alichapisha ujumbe huo baada ya kuzungumza na Mkuu wa Majeshi wa Uingereza, Admirali Sir Tony Radakin, kuhusu hali ya Ukraine.

Maoni yake ni ishara chanya ya hivi punde kutoka kwa maafisa wa Ukraine kuhusu vita virefu vya Bakhmut.

Siku ya Alhamisi, Oleksandr Syrsky, kamanda wa vikosi vya ardhini vya nchi hiyo, alisema kuwa wanajeshi wa Urusi "wamechoka" huko Bakhmut.

Bwana Syrsky aliongeza kuwa wakati Urusi "haijakata tamaa ya kuchukua Bakhmut kwa gharama yoyote licha ya hasara ya wanajeshi wake na vifaa... wanapoteza nguvu kubwa".

Mji huo ulikuwa na wakzi 70,000 kabla ya kuanza kwa vita lakini sasa umesalia na watu wachache tuwengi wakikimbia usalama wao.
 
Na BBC Swahili

View attachment 2564673
Vita vya Bakhmut, mji wa Ukraine ambao Urusi imetumia miezi kadhaa kujaribu kuuteka, "inaendela kwa utulivu", anasema kamanda mkuu wa Ukraine. Mapema mwezi huu, maafisa wa Magharibi walikadiria kati ya wanajeshi 20,000 na 30,000 wa Urusi waliuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut tangu msimu uliopita wa joto.

Lakini pamoja na hayo, Valerii Zaluzhnyi alisema "juhudi kubwa" za wanajeshi wa Ukraine zinairudisha nyuma Urusi.

Moscow ina hamu ya ushindi baada ya kushindwa kupata mafanikio makubwa katika siku za hivi karibuni.

Licha ya hayo, wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanaamini kuwa Bakhmut ina thamani ndogo ya kimkakati, na umuhimu wa jiji hilo sasa ni wa kiishara.

Katika mtandao wa Facebook, Luteni Jenerali Zaluzhnyi alisema kwamba wakati hali kwenye mstari wa mbele wa Ukraine "ni ngumu zaidi katika mwelekeo wa Bakhmut...kutokana na juhudi kubwa za vikosi vya ulinzi, tunafanikiwa kuleta utulivu."

Luteni Jenerali Zaluzhnyi alichapisha ujumbe huo baada ya kuzungumza na Mkuu wa Majeshi wa Uingereza, Admirali Sir Tony Radakin, kuhusu hali ya Ukraine.

Maoni yake ni ishara chanya ya hivi punde kutoka kwa maafisa wa Ukraine kuhusu vita virefu vya Bakhmut.

Siku ya Alhamisi, Oleksandr Syrsky, kamanda wa vikosi vya ardhini vya nchi hiyo, alisema kuwa wanajeshi wa Urusi "wamechoka" huko Bakhmut.

Bwana Syrsky aliongeza kuwa wakati Urusi "haijakata tamaa ya kuchukua Bakhmut kwa gharama yoyote licha ya hasara ya wanajeshi wake na vifaa... wanapoteza nguvu kubwa".

Mji huo ulikuwa na wakzi 70,000 kabla ya kuanza kwa vita lakini sasa umesalia na watu wachache tuwengi wakikimbia usalama wao.
Hivi kweli kuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuamini kuuawa kwa askari 20 wa Urusi elfu huko Ukraine?
 
Na BBC Swahili

View attachment 2564673
Vita vya Bakhmut, mji wa Ukraine ambao Urusi imetumia miezi kadhaa kujaribu kuuteka, "inaendela kwa utulivu", anasema kamanda mkuu wa Ukraine. Mapema mwezi huu, maafisa wa Magharibi walikadiria kati ya wanajeshi 20,000 na 30,000 wa Urusi waliuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut tangu msimu uliopita wa joto.

Lakini pamoja na hayo, Valerii Zaluzhnyi alisema "juhudi kubwa" za wanajeshi wa Ukraine zinairudisha nyuma Urusi.

Moscow ina hamu ya ushindi baada ya kushindwa kupata mafanikio makubwa katika siku za hivi karibuni.

Licha ya hayo, wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanaamini kuwa Bakhmut ina thamani ndogo ya kimkakati, na umuhimu wa jiji hilo sasa ni wa kiishara.

Katika mtandao wa Facebook, Luteni Jenerali Zaluzhnyi alisema kwamba wakati hali kwenye mstari wa mbele wa Ukraine "ni ngumu zaidi katika mwelekeo wa Bakhmut...kutokana na juhudi kubwa za vikosi vya ulinzi, tunafanikiwa kuleta utulivu."

Luteni Jenerali Zaluzhnyi alichapisha ujumbe huo baada ya kuzungumza na Mkuu wa Majeshi wa Uingereza, Admirali Sir Tony Radakin, kuhusu hali ya Ukraine.

Maoni yake ni ishara chanya ya hivi punde kutoka kwa maafisa wa Ukraine kuhusu vita virefu vya Bakhmut.

Siku ya Alhamisi, Oleksandr Syrsky, kamanda wa vikosi vya ardhini vya nchi hiyo, alisema kuwa wanajeshi wa Urusi "wamechoka" huko Bakhmut.

Bwana Syrsky aliongeza kuwa wakati Urusi "haijakata tamaa ya kuchukua Bakhmut kwa gharama yoyote licha ya hasara ya wanajeshi wake na vifaa... wanapoteza nguvu kubwa".

Mji huo ulikuwa na wakzi 70,000 kabla ya kuanza kwa vita lakini sasa umesalia na watu wachache tuwengi wakikimbia usalama wao.
Niliposoma INASEMEKANA au INAKADILIWA mwezi uliopita, sikuendelea kusoma bandiko lako la kizushi
 
Hivi mbona watani zetu wa western ( rainbow) kwenye avatar zenu mnatumia sana namba kuliko majina mfano 5523, mk254, na wengine wengi tu..mnanifikirisha sana!!
 
Nenda kwenye hoja, jamaa anauliza bakhmut vipi? mlianza kwa kasi lete mafanikio
Zelensky aliwaambia Westerners kuwa Bakhmut ikianguka ndio utakuwa mwisho wa mchezo. Kwahiyo NATO wameweka nguvu zotee hapo Bakhmut na hiyo ndio imepelekea kufanya progress ya WAGNER kwenda mdogomdogo. Lakini mwisho wa yote Bakhmut itakwenda tu mtake msitake
 
Zelensky aliwaambia Westerners kuwa Bakhmut ikianguka ndio utakuwa mwisho wa mchezo. Kwahiyo NATO wameweka nguvu zotee hapo Bakhmut na hiyo ndio imepelekea kufanya progress ya WAGNER kwenda mdogomdogo. Lakini mwisho wa yote Bakhmut itakwenda tu mtake msitake
Hee kwaiyo wewe unataka bakhmut ichukuliwe zaid kuliko anavyoitaka Putin?? mana putin kashindwa sasa nenda wewe
 
Russia tuliyokuwa tunasimuliwa ni imara,kumbe ni mdebwedo sijaona.Hata jeshi letu imara la JWTZ likizipiga na Russia linamshinda mapema sana.
Acha kuota ndoto unafananisha nchi yenye viwanda vingi vya silaha hadi inauza na kutoa msaada kwa rafiki zake na nchi ambayo haina viwanda vya kutengeneza silaha? Huo ni utoto kabisa
 
Russia tuliyokuwa tunasimuliwa ni imara,kumbe ni mdebwedo sijaona.Hata jeshi letu imara la JWTZ likizipiga na Russia linamshinda mapema sana.
JWTZ hii hii mkuu? Embu acha kuvunjia heshima Jeshi letu. Ukiweka silaha za Nuclear chini, mchukue Mrusi, Mchina, Iran n.k wote waweke pamoja kisha walete, hawachomoki hao wehu.

Tena tukipewa vifaa ndo kabisaaa.
 
Hizi taarifa za uongo!
Askari 20,000 wakae eneo moja kama mchwa?

Wawadanganye wasiona na uelewa.
 
Back
Top Bottom