Wanajeshi 20,000 wa Urusi wadaiwa kuuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut, Ukraine

Wanajeshi 20,000 wa Urusi wadaiwa kuuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut, Ukraine

nenda tweeter kawahesabu mkuu. mait zao zmetapakaa sana kaka
screenshot_2023-03-25-18-43-25-272_com-miui-gallery-jpg.2565355
 
Kwa akili yako wewe mjanja unakataa au unabishia nini? Unajua ni kwanini warusi wameshindwa kutwaa mji huo? Acha mahaba bwashee mrusi hamna kitu mbele ya Ukraine ni silaha tu but jeshi halipo pale
Waliopo pale ni wale mobilised i.e. waliozolewa kwa mtindo wa kamata-kamata kutoka mitaani na Magerezani Wakapewa mafunzo fasta-fasta ya wiki 2-3 halafu wakaswagwa kwenda frontline. Sasa je, hilo ni jeshi kweli au ni watu walipelekwa ili kumaliza risasi za Ukraine?
 
Urusi ana raia wengi sana wa kuwafanya cannon fodder, yeye mara zote vita kwake ni kushinda kwa wingi, sio ubora. Hapo Ukraine hata akitoa raia wake milioni kafara ili aonekane tu ameshinda kwake sio ishu.
Hivi kweli kuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kuamini kuuawa kwa askari 20 wa Urusi elfu huko Ukraine?
 
Hakika, Urusi ukiondoa nuclear tu hakuna kitu pale.
JWTZ hii hii mkuu? Embu acha kuvunjia heshima Jeshi letu. Ukiweka silaha za Nuclear chini, mchukue Mrusi, Mchina, Iran n.k wote waweke pamoja kisha walete, hawachomoki hao wehu.

Tena tukipewa vifaa ndo kabisaaa.
 
Punguza matumizi ya mihadarati wewe pacha wa Mathanzua uache hallucinations.
Unategemea BBC wataleta habari gani ambazo siyo biased -mbona hawasemi kwamba wanajeshi wa Ukraine wamejificha kwenye reinforced concrete bunkers zilizo jengwa wakati wa utawala wa kisoviet kujikinga dhidi ya nuclear missiles za Kimerikani, mahandaki hayo yalijengwa madhubuti mtu unaweza kuishi humo hata mwaka mzima bila ya kutoka nje/juu ya aridhi kuna mpaka barabara - Waukraine wameficha silaha nyingi humo na wanajeshi ndio maana kwenye vyombo vya habari wanasema kamji hako ni insignificant,sasa kama hakana maana kwa nini mnakag'ang'ania na kupoteza wanajeshi lukuki kuna nini pale??

Naona kilicho baki sasa kama Zelensky na washauri wake wa kijeshi wakigangania mji huo Urusi italazimika kitumia mabom/missiles bunker busters na kuwamaliza wote walio jificha humo pamoja na silaha zao.
 
Na BBC Swahili

View attachment 2564673
Vita vya Bakhmut, mji wa Ukraine ambao Urusi imetumia miezi kadhaa kujaribu kuuteka, "inaendela kwa utulivu", anasema kamanda mkuu wa Ukraine. Mapema mwezi huu, maafisa wa Magharibi walikadiria kati ya wanajeshi 20,000 na 30,000 wa Urusi waliuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut tangu msimu uliopita wa joto.

Lakini pamoja na hayo, Valerii Zaluzhnyi alisema "juhudi kubwa" za wanajeshi wa Ukraine zinairudisha nyuma Urusi.

Moscow ina hamu ya ushindi baada ya kushindwa kupata mafanikio makubwa katika siku za hivi karibuni.

Licha ya hayo, wachambuzi wa masuala ya kijeshi wanaamini kuwa Bakhmut ina thamani ndogo ya kimkakati, na umuhimu wa jiji hilo sasa ni wa kiishara.

Katika mtandao wa Facebook, Luteni Jenerali Zaluzhnyi alisema kwamba wakati hali kwenye mstari wa mbele wa Ukraine "ni ngumu zaidi katika mwelekeo wa Bakhmut...kutokana na juhudi kubwa za vikosi vya ulinzi, tunafanikiwa kuleta utulivu."

Luteni Jenerali Zaluzhnyi alichapisha ujumbe huo baada ya kuzungumza na Mkuu wa Majeshi wa Uingereza, Admirali Sir Tony Radakin, kuhusu hali ya Ukraine.

Maoni yake ni ishara chanya ya hivi punde kutoka kwa maafisa wa Ukraine kuhusu vita virefu vya Bakhmut.

Siku ya Alhamisi, Oleksandr Syrsky, kamanda wa vikosi vya ardhini vya nchi hiyo, alisema kuwa wanajeshi wa Urusi "wamechoka" huko Bakhmut.

Bwana Syrsky aliongeza kuwa wakati Urusi "haijakata tamaa ya kuchukua Bakhmut kwa gharama yoyote licha ya hasara ya wanajeshi wake na vifaa... wanapoteza nguvu kubwa".

Mji huo ulikuwa na wakzi 70,000 kabla ya kuanza kwa vita lakini sasa umesalia na watu wachache tuwengi wakikimbia usalama wao.
Posti za Google Translate zinajaa ukakasi kinoma.
 
Hizi taarifa za uongo!
Askari 20,000 wakae eneo moja kama mchwa?

Wawadanganye wasiona na uelewa.
kuna watu uelewa ni mdg sana mnahisi hivo vifaru vinalenga miti ?'au mnahisi ni vita zenu hzo za panyaroad?
 
Kaka vita ni kitu kingine. JWTZ sisi Mrusi tunamuweza, labda atumie hayo makombora ya masafa marefu lakini sio kwenye uwanja wa vita.
Uko serious ama unachangamsha jukwaa? Russia mlikuwa mnapeleka huko vijana kupata mafunzo, achilia mbali hizo missiles kwenye mbinu, uzoefu na elimu ya vita huwagusi. Hio sio M23.
 
Back
Top Bottom