Wanajeshi 20,000 wa Urusi wadaiwa kuuawa au kujeruhiwa huko Bakhmut, Ukraine

Slava Ukraine...💪💪
 
Unategemea BBC wataleta habari gani ambazo siyo biased -mbona hawasemi kwamba wanajeshi wa Ukraine wamejificha kwenye reinforced concrete bunkers zilizo jengwa wakati wa utawala wa kisoviet kujikinga dhidi ya nuclear missiles za Kimerikani, mahandaki hayo yalijengwa madhubuti mtu unaweza kuishi humo hata mwaka mzima bila ya kutoka nje/juu ya aridhi kuna mpaka barabara - Waukraine wameficha silaha nyingi humo na wanajeshi ndio maana kwenye vyombo vya habari wanasema kamji hako ni insignificant,sasa kama hakana maana kwa nini mnakag'ang'ania na kupoteza wanajeshi lukuki kuna nini pale??

Naona kilicho baki sasa kama Zelensky na washauri wake wa kijeshi wakigangania mji huo Urusi italazimika kitumia mabom/missiles bunker busters na kuwamaliza wote walio jificha humo pamoja na silaha zao.
 
JWTZ hii hii mkuu? Embu acha kuvunjia heshima Jeshi letu. Ukiweka silaha za Nuclear chini, mchukue Mrusi, Mchina, Iran n.k wote waweke pamoja kisha walete, hawachomoki hao wehu.

Tena tukipewa vifaa ndo kabisaaa.
Naliheshimu JWTZ nimelelewa nalo lakini ulichokisema hapana kwakweli.
 
JWTZ hii hii mkuu? Embu acha kuvunjia heshima Jeshi letu. Ukiweka silaha za Nuclear chini, mchukue Mrusi, Mchina, Iran n.k wote waweke pamoja kisha walete, hawachomoki hao wehu.

Tena tukipewa vifaa ndo kabisaaa.
Ila kwa kigezo hiki utasema Marekani anaweza.
 
Mhh! Kijana hao warusi wanapigana vita dhidi ya ulaya nzima na Marekani mpaka sasa. Wana uwezo mkubwa sana wa kijeshi acha maneno ya ajabu.
Sio maneno ya ajabu bro, bali ndo ukweli wenyewe.Anachojivunia Mrusi ni kule kuwa na idadi kubwa ya askari(Askari wengi). Kwa Mrusi kuuawa kwa askari sio hoja kwake -Ataleta wengine, wakiuawa ataleta wengine tena mpaka mtachoka kuwaua. Unaweza kulionja hilo katika mpambano uliotokea huko mji wa Bakhmut Ukraine ambapo watoa habari walisema ilikuwa Rusia analeta askari ni wimbi baada ya wimbi na mji huo ulitapakaa maiti/mizoga ya askari. Hapa nazungumzia Infantry kwani hao ndo wanaoteka maeneo.
 
Katika hiyo 'mizoga' kama ya Urusi ni 20,000, ya Ukraine ni mingapi?

Hizo ni propaganda za kivita za kimagharibi na sii zaidi ya hapo.
Inaweza kuwa kweli ni propaganda tena za kimagharibi lakini ukweli utaendelea kubaki kwamba walikufa askari wengi pamoja na raia walionaswa katika mapigano hayo.
 
Wazee wakutoa takwimu za wenzao kuliko zao mngekuwa mmeurejesha uwoo mji ata nusu tu ingekuwa jambo la maana ila mnatoa takwimu kuficha hasara mliyoipata
 

kherson na kharkiv ziliondoka ndan ya miez mitatu ya counteroffencv. bakhmut ndio sehem pekee ya russia kufutia aibu. lakin wap. mwaka unakatika soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…