Wanajeshi 25,000 wa Urusi wapoteza maisha Ukraine

Donbas umebaki sehemu ya Lysychanck biashara ifike mwisho,, usisahau Mariupol ipo mikononi mwa Urusi
Hiyo miji kila siku majesh ya russia yanafurushwa hadi mpakani halafu wanaanza upya, hakuna mji alioshika
 
Urusi wamekufa wingi sana hawa technic ya vita, wanauliwa kama kumbikumbi, majenerali wao zaidi ya 30
We kweli kiazi, hana technic wakati anapambana na mataifa zaidi ya 30? Na mataifa yote hayo, hayana hata matumaini ya kushinda, yanaishia kubweka kama mbwa aliyeona mtu kainama.
Maana mbwa kubweka kwake koteee anaogopa mchanga hahhahahahaha
 
Umeanza kuchanganyikiwa lini Urusi kafurushwa Mariupol? au ukiachana na mji wa Lysychanck ni mji gani Ukraine ana dhibiti Donbas?
Mariopol sio wote, Severodonetsk pia sio wote vita inaendelea, Khakiv amefurushwa 100%
 
We kweli kiazi, hana technic wakati anapambana na mataifa zaidi ya 30? Na mataifa yote hayo, hayana hata matumaini ya kushinda, yanaishia kubweka kama mbwa aliyeona mtu kainama.
Maana mbwa kubweka kwake koteee anaogopa mchanga hahhahahahaha
ule msururu wa vifaru vimeishia wapi? mataifa hayajaingia fully wanapeleka silaha tu chache, wazee wazima Nato wakiingia fully Russia litabaki vumbi tupu na jangwa
 
Zelensky endelea kupeleka moto, bado kidogo tu dikteta aikimbie Kremlin
 
Mariopol sio wote, Severodonetsk pia sio wote vita inaendelea, Khakiv amefurushwa 100%
We jamaa upo dunia ipi Mariupol yote iko Urusi wale jamaa walio jisalimisha kwenye kiwanda cha chumba ndio walikuwa watu wa mwisho, Severodonetsk yote ipo Urusi wale wanajeshi wa Ukraine wameondoka wote baada ya kipigo kikali, Kherson ndio mji ambao Ukraine na Urusi wanamiliki kwa pamoja
 
ule msururu wa vifaru vimeishia wapi? mataifa hayajaingia fully wanapeleka silaha tu chache, wazee wazima Nato wakiingia fully Russia litabaki vumbi tupu na jangwa
Tunawakarisha NATO na US waje wote kwenye uwanja wa vita, wanaogopa mziki wa Putin, ndio maana wanabweka kwenye vikao vyao, wewe unafikiri angekuwa Museven ndio anaua watu kama Urusi angeachwa? Nato ni kunguru hawezi kuleta pua yake anaogopa maumivu atakayo pata
 
Dunia na mataifa makubwa wanaangalia uwezekano wa kukwepa vita ya 3 ya dunia ambavyo putin haelewi ama hakujua athari zake lakini ikibidi yatarespond vigorously, putin tayari amechokozwa mara kadhaa ili aanze lakini anaruka kama kunguru
 
Dunia na mataifa makubwa wanaangalia uwezekano wa kukwepa vita ya 3 ya dunia ambavyo putin haelewi ama hakujua athari zake lakini ikibidi yatarespond vigorously, putin tayari amechokozwa mara kadhaa ili aanze lakini anaruka kama kunguru
Sawa lkinii RUSSIA TAIFA TEULE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Putin kanyaga hao, anae lia msibani ndio limemkuta
Usisahau kupita hapa pia; labda Putin ameanza kuogopa kuendelea kuona mizoga ya binadamu

Russian forces withdraw from Ukraine's Snake Island​

By FRANCESCA EBEL, Associated Press - 1h ago
SLOVIANSK, Ukraine (AP) — Russia’s Defense Ministry says it has withdrawn its forces from a Black Sea island near Ukraine’s port of Odesa.

Russian ordinance on the ground of a concert hall damaged by strikes, in Yahidne village, northern Chernihiv region, Ukraine, Wednesday, June 29, 2022. A few months after Russian troops retreated from Yahidne, the village has gradually returned to life. People are repairing their homes, and a strong wind occasionally picks up the bitter smell of ashes. (AP Photo/Nariman El-Mofty)
The ministry said that it pulled back its forces from the Zmiyinyy (Snake) Island Thursday in what it described as a “goodwill gesture.” It added that the pullout has demonstrated that “the Russian Federation wasn’t hampering the United Nations’ efforts to establish a humanitarian corridor for taking agricultural products from the territory of Ukraine.”

A part of a mortar shell lays on a road in Yahidne village, as civilians rebuild their homes after being destroyed by Russian strikes, northern Chernihiv region, Ukraine, Wednesday, June 29, 2022. A few months after Russian troops retreated from Yahidne, the village has gradually returned to life. People are repairing their homes, and a strong wind occasionally picks up the bitter smell of ashes. (AP Photo/Nariman El-Mofty)
Ukraine and the West have accused Russian of blockading Ukrainian ports to prevent the exports of grain, contributing to the global food crisis. Russia has denied the accusations and charged that Ukraine needs to remove sea mines from the Black Sea to allow safe navigation.

Markings are shown made by children and adults in the basement of a school which was used as a bomb shelter for children and their parents, as their village was being attacked by Russian strikes, in Yahidne village, northern Chernihiv region, Ukraine, Wednesday, June 29, 2022. A few months after Russian troops retreated from Yahidne in the northern Chernihiv region, the village has gradually returned to life. No one in the village yet plans to rebuild the school; they prefer not to mention the place at all. Most of Yahidne's residents — almost 400 people — spent a month in the school's basement. (AP Photo/Nariman El-Mofty)
Russia took control of the island in the opening days of its military action in Ukraine in an apparent hope to use it to control the area and use it as a staging ground for an attack on Odesa. Russian forces stationed there have come under relentless Ukrainian attacks.





THIS IS A BREAKING NEWS UPDATE. AP’s earlier story follows below.
SLOVIANSK, Ukraine (AP) — Russian troops fought Thursday to encircle the last bulwark of Ukraine's resistance in an eastern province, as funerals were to be held for those who were killed by a Russian strike on a shopping mall in central Ukraine earlier this week.
Moscow’s push to take control of the entire Donbas region from Ukraine is focused on Lysychansk, the last remaining Ukrainian stronghold in the Luhansk province. Russian troops and their separatist allies control 95% of Luhansk and about half of Donetsk, the two provinces that make up the mostly Russian-speaking Donbas.

Ukrainian State Emergency Service firefighters work to take away debris at a shopping center burned after a rocket attack in Kremenchuk, Ukraine, Tuesday, June 28, 2022. Residents of the quiet, riverside city of Kremenchuk are reeling in the wake of a Russian airstrike that obliterated a shopping mall and killed at least 18. With dozens still missing, psychologists are working with families to help them through their grief and toward acceptance that they may never find their loved ones. (AP Photo/Efrem Lukatsky)
The Ukrainian General Staff said that the Russian troops were shelling Lysychansk and clashing with Ukrainian defenders around an oil refinery on the edge of the city.
Luhansk Gov. Serhiy Haidai said that Russian reconaissance units tried to enter Lysychansk Wednesday, but were repelled by the Ukrainian forces. He said the Russians were trying to block a highway used to deliver supplies and fully encircle the city.
“The Russians have thrown practically all their forces to seize the city,” Haidai said.


Speaking on a visit to Turkmenistan early Thursday, Russian President Vladimir Putin said his goals in Ukraine haven't changed since the start of the war. He said they were “the liberation of the Donbas, the protection of these people and the creation of conditions that would guarantee the security of Russia itself.” He made no mention of his original stated goals to “demilitarize” and “de-Nazify” Ukraine.
He denied Russia had adjusted its strategy after failing to take Kyiv in the early stage of the conflict. “As you can see, the troops are moving and reaching the marks that were set for them for a certain stage of this combat work. Everything is going according to plan,” Putin said at a news conference in Turkmenistan.
Meanwhile, funerals were to be held Thursday for some of the 18 people confirmed killed by Monday's Russian missile strike on a busy shopping mall in Kremenchuk. Crews continued to search through the rubble in search of another 20 people who remain missing.

Ukrainian State Emergency Services press officer Svitlana Rybalko told The Associated Press that along with the 18 bodies, investigators found fragments of eight more bodies. It was not immediately clear whether that meant there were more victims. A number of survivors suffered severed limbs.

People lay flowers to pay the last respect to victims of the Russian rocket attack at a shopping center in Kremenchuk, Ukraine, Wednesday, June 29, 2022. (AP Photo/Efrem Lukatsky)
After the attack on the mall, Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy accused Russia of becoming a “terrorist” state. On Wednesday, he reproached NATO for not embracing or equipping his embattled country more fully.
“The open-door policy of NATO shouldn’t resemble old turnstiles on Kyiv’s subway, which stay open but close when you approach them until you pay,” Zelenskyy told NATO leaders meeting in Madrid, speaking by video link. “Hasn’t Ukraine paid enough? Hasn’t our contribution to defending Europe and the entire civilization been sufficient?”

He asked for more modern artillery systems and other weapons and warned the NATO leaders they either had to provide Ukraine with the help it needed to defeat Russia or “face a delayed war between Russia and yourself.”
In southern Ukraine, the death toll from Wednesday's Russian missile strike on an apartment building in Mykolaiv rose to six, according to Gov. Vitaliy Kim. Another six people were wounded. Mykolaiv is a major port and seizing it — as well as Odesa farther west — would be key to Russia’s objective of cutting off Ukraine from its Black Sea coast.
 

Attachments

  • 1656581670017.png
    68 bytes · Views: 6
Twenty five thousand Russians, we think, have been killed in tha

Maana unaielewa?

Hana yakini.

Acha NATO watapetape
 
Heading imenichanganya. Nikajua kwa pamoja wamepigwa kombora moja.

Hata hivyo maadam ni Uingereza kasema hivyo niseme tu " Mtaamini nyie lakini sio Mimi"
 
Hakuna shida target ni Donbas , tunakaribia kumaliza mji wa Lysychanck tukamilishe lengo, snake Island ni eneo dogo sana tena sio Donbas
 
Dunia na mataifa makubwa wanaangalia uwezekano wa kukwepa vita ya 3 ya dunia ambavyo putin haelewi ama hakujua athari zake lakini ikibidi yatarespond vigorously, putin tayari amechokozwa mara kadhaa ili aanze lakini anaruka kama kunguru
Wana muogopa Putin ndio maana hata silaha wanazo mpa Ukraine wanampa na masharti kuwa wasipige ndani ya Urusi, wakati huu Urusi anapiga hadi shule, hivi hili jambo wewe unajizima data?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…