HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Mbona kwa ukali?Huyu ndio msemaji wa Ukraine? amefanya body count lini au takwimu katoa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kwa ukali?Huyu ndio msemaji wa Ukraine? amefanya body count lini au takwimu katoa wapi?
Samahani mkuu🤭🤭Mbona kwa ukali?
Hapigi shule kwa kukusudia anapiga long range missiles kutoka black sea hivyo zinaenda kutua popote tu maana vita ya mkono ardhini ameshindwa sasa ni mwezi 5 kapoteza askari wengi balaa wakiwemo manejerali zaidi ya 30Wana muogopa Putin ndio maana hata silaha wanazo mpa Ukraine wanampa na masharti kuwa wasipige ndani ya Urusi, wakati huu Urusi anapiga hadi shule, hivi hili jambo wewe unajizima data?
Mmekutana na Zelensky mara ngapi nyumbani kwake na kwenu? Mmekaa vikao vingapi? Ma sniper wangapi mmewaregister? Matokeo mnayopata yanareflect cost mlizo incar?ule msururu wa vifaru vimeishia wapi? mataifa hayajaingia fully wanapeleka silaha tu chache, wazee wazima Nato wakiingia fully Russia litabaki vumbi tupu na jangwa
Sasa hawo wanasayansi kutoka nchi gani au huko gongolamboto ulikojichimbia na Tecno?,Mmekutana na Zelensky mara ngapi nyumbani kwake na kwenu? Mmekaa vikao vingapi? Ma sniper wangapi mmewaregister? Matokeo mnayopata yanareflect cost mlizo incar?
Juz bwabwaja lenu kubwa, ametangaza kusajili wanasayansi wasiopenda utawala wa Putin, inareflect nin kama sio kushindwa?
Hao wachacheHuyu ndio msemaji wa Ukraine? amefanya body count lini au takwimu katoa wapi?
Tunaendelea kusonga mbele mpaka target ifikiweJomba, vita ya Klemlim na kyiev siyo mechi ya msimbazi na jangwani
Ameshindwa wakati amekalia miji ya Ukraine? Kule Luhansk bado Lysychanck tu ikamilike, kila siku Nato wanaleta silaha na pesa mpaka wana nchi wao maisha magumu halafu unasema wameshindwa!! Leo mbichi wafanyakazi wa viwanja vya ndege wamefanya mgomo Ufaransa, hii yote ni kazi ya PutinHapigi shule kwa kukusudia anapiga long range missiles kutoka black sea hivyo zinaenda kutua popote tu maana vita ya mkono ardhini ameshindwa sasa ni mwezi 5 kapoteza askari wengi balaa wakiwemo manejerali zaidi ya 30
Ina umuhimu lakini sio sana, ndio maana bado hakuna meli yeyote itakayo pita bila ruhusa ya Urusi , bado yupo kwenye black seaAcha ujinga.. kubali mmeshindwa[emoji3]
Na hujui hiyo sehemu ina umuhimu gani.
Miji anakalia kwa muda tu baadae anaitema hujaskia kuhusu Snake Island jana? Walikula shaba wakaachia wenyewe maamaeAmeshindwa wakati amekalia miji ya Ukraine? Kule Luhansk bado Lysychanck tu ikamilike, kila siku Nato wanaleta silaha na pesa mpaka wana nchi wao maisha magumu halafu unasema wameshindwa!! Leo mbichi wafanyakazi wa viwanja vya ndege wamefanya mgomo Ufaransa, hii yote ni kazi ya Putin
Snake sio mji ule ni eneo tu la kimkakati, mbona Ukraine walikimbia Soverednetsk kweupe ambao ni mji muhimu , mda sio mrefu utaelewaMiji anakalia kwa muda tu baadae anaitema hujaskia kuhusu Snake Island jana? Walikula shaba wakaachia wenyewe maamae
Sema wewe jamaa ni muongo sana..vitu unavoweka ni vya uwongo uwongo tuUrusi wamekufa wingi sana hawa technic ya vita, wanauliwa kama kumbikumbi, majenerali wao zaidi ya 30
Sema wewe jamaa ni muongo sana..vitu unavoweka ni vya uwongo uwongo tu