Wanajeshi 50,000 wa Israeli Wanashindwa kuteka Kijiji Kimoja cha Lebanon

wayahudi wa hapa JF washanuna pomoni saa hizi...
 
Kwani Israel ameenda kuteka ardhi ya Lebanon..!!!
 
Huna akili ww unaletea mambo ya kisenge kisenge sisi madini yenu yanatuhusu nn KAFIRI wewe tujadili hatima ya Taifa letu
 
Kweli nyie wakristo hamna dini ndio mana Paulo aliwapoteza kwenye njia panda. Kuwavisha msalaba ni dalili hata mkimshitaki atasema mvaa msalaba ana lana mimi simo 😄
Haya ndo matatizo ya akili yenyewe nayosema hizi za majahazi zimeshawadumaza akili
 
Wanamgambo wa kazura wanaendelea kutiana mioyo baada ya hali mbaya kivita. Wekeni silaha chini mtazidi kupoteza kila kitu Generations to Generation kwa vitu ambavyo kila siku mnazidiwa uwezo.
 
Wanamgambo wa kazura wanaendelea kutiana mioyo baada ya hali mbaya kivita. Wekeni silaha chini mtazidi kupoteza kila kitu Generations to Generation kwa vitu ambavyo kila siku mnazidiwa uwezo.
 
The New York Times
www.nytimes.com
A Lebanese Town Tries to Stay Out of Israel-Hezbollah War


19 minutes ago — Israel's military campaign has left few communities in the south untouched. Villages in the south where there is deep support for Hezbollah, an ...
 
Unaonaje sasa?? Umeona UHARO wako huo uliouandika? Wakati unaandika Propaganda zako ukumbuke pia kuna kuumbuka mchana kwenye!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…