naomba fatilia tabia za wanajeshi wa nchi zingine hii ni bahati mbaya kwa wanajeshi wetu.Walinda amani wa Tanzania kurejeshwa nyumbani kutokana na madai ya utovu wa nidhamu CAR
9 Juni 2023Haki za binadamu
Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA) chenye makao yake makuu mjini Bangui, kimetangaza uamuzi wa Sekretarieti, kuwarudisha nyumbani kikosi cha wanajeshi 60 wa Tanzania, waliokuwa wametumwa katika kambi ya muda ya operesheni katika eneo la magharibi mwa nchi hiyo kufuatia madai makubwa ya matendo ya unyanyasaji wa kingono yanayodaiwa kutekelezwa na walinda amani hao, msemaji wa Umoja wa Mataifa amewaeleza walinda waandishi wa Habari hii katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa, jijini New York, Marekani.
Msemaji wa Katibu Mkuu wa UN, Stéphane Dujarric, amesema, "Uamuzi huo unakuja baada ya uchunguzi wa awali ambao ulipata ushahidi wa kuaminika kwamba walinda amani 11 wa kitengo hicho walidaiwa kujihusisha na unyanyasaji wa kingono kwa waathirika wanne.”
Akifafanua zaidi Dujarric amesema, “Waathiriwa waliotambuliwa wanapatiwa matunzo na usaidizi kutoka kwa wadau wa operesheni za kibinadamu. MINUSCA pia imetuma timu ili kuzungumza zaidi na jamii.
Tanzania imetuma wachunguzi
Kwa mujibu wa Dujarric, “Mamlaka za Tanzania zimearifiwa rasmi na zimetuma maafisa wa uchunguzi wa kitaifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika kuthibitisha dhamira yao ya kutovumilia kabisa unyanyasaji wa kijinsia na kingono, mamlaka za Tanzania zilibaini uzito wa tuhuma hizo na wamejitolea kuchukua hatua zinazohitajika kushughulikia masuala haya.”
Msemaji huyo amesema, “Kikosi kimehamishwa na kupelekwa katika kambi nyingine huku uchunguzi ukiendelea, na wahusika wa kitengo hicho wamezuiliwa kwenye kambi, hii ni kwa ajili ya kuwalinda waathirika na bila shaka uadilifu wa uchunguzi. Kikosi hicho kitarejeshwa nyumbani pindi ambapo uwepo wao hautahitajika tena kwa wachunguzi.”
Vilevile Dujarric ameeleza, “Uamuzi wa Sekretarieti kurudisha kikosi hiki ni kwa mujibu wa azimio namba 2272 la Baraza la Usalama, ambapo Baraza 'linaidhinisha uamuzi wa Katibu Mkuu wa kurudisha nyumbani kikosi fulani cha kijeshi au kuunda kitengo cha polisi cha kikosi wakati kuna ushahidi wa kuaminika wa unyanyasaji wa kingono ulioenea au wa kimfumo unaofanywa na kitengo hicho'.
Msemaji huyo wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, "Umoja wa Mataifa unasalia na nia ya kutekeleza kwa dhati sera ya Katibu Mkuu ya kutovumilia kabisa unyonyaji na unyanyasaji wa kijinsia."
=====
The United Nations will send home a unit of 60 Tanzanian peacekeepers over allegations of sexual exploitation and abuse in the Central African Republic, the UN announced on Friday.
A preliminary investigation found “credible evidence” that eleven members of the unit were involved in sexual exploitation and abuse of four victims, UN spokesman Stephane Dujarric said.
Two of the alleged victims are children, according to UN figures.
Investigators also identified a breakdown in commanders’ authority and management of staff, according to a press release by the UN’s mission in the country.
The victims have received care from humanitarian groups working with the UN, according to their “medical, psychosocial and protection” needs, it said.
The UN has had a mission in the conflict-torn Central African Republic since 2014, where thousands of peacekeepers have been deployed.
The eleven suspects had been working at a temporary base in the west of the country. The Tanzanian unit has now been relocated to another base and its members confined to the barracks.
“The unit will be repatriated once their presence is no longer required by the investigation,” Dujarric said.
Tanzanian authorities have also dispatched investigation officers to the Central African Republic.
There have been allegations of sexual abuse or exploitation against Tanzanian peacekeepers – largely in the Democratic Republic of Congo – every year since at least 2015, UN figures show.
Hii taswira mbaya sana kwa Jeshi letu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa anakupenda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] @ Babu Fyeee
Hivi karibuni, wakitumikia katika vikosi vya Umoja wa Mataifa vya kulinda amani huko Afrika ya Kati, wanajeshi wawili wa Tanzania walikoa manza na kufanya ngono na wenyeji kinyume cha ustaarabu. Haikuelezwa bayana walifanya nini hasa, lakini inajulikana kwamba kosa la kufanya ngono bila ridhaa halivumiliwi kabisa na Umoja wa Mataifa. Matokeo yake, Umoja wa Mataifa uliwatimua wanajeshi wote 60 wa kikosi cha Tanzania wanaotumika huko.
Jambo hili lilifanyiwa hush hush nchini na wala raia hawakuelezwa, kama kawaida.
Mmomonyoko wa maadili sasa umefika jeshini. Subirini makubwa!
That is unbecoming behaviorWalinda amani wa Tanzania kurejeshwa nyumbani kutokana na madai ya utovu wa nidhamu CAR
9 Juni 2023Haki za binadamu
Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA) chenye makao yake makuu mjini Bangui, kimetangaza uamuzi wa Sekretarieti, kuwarudisha nyumbani kikosi cha wanajeshi 60 wa Tanzania, waliokuwa wametumwa katika kambi ya muda ya operesheni katika eneo la magharibi mwa nchi hiyo kufuatia madai makubwa ya matendo ya unyanyasaji wa kingono yanayodaiwa kutekelezwa na walinda amani hao, msemaji wa Umoja wa Mataifa amewaeleza walinda waandishi wa Habari hii katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa, jijini New York, Marekani.
Msemaji wa Katibu Mkuu wa UN, Stéphane Dujarric, amesema, "Uamuzi huo unakuja baada ya uchunguzi wa awali ambao ulipata ushahidi wa kuaminika kwamba walinda amani 11 wa kitengo hicho walidaiwa kujihusisha na unyanyasaji wa kingono kwa waathirika wanne.”
Akifafanua zaidi Dujarric amesema, “Waathiriwa waliotambuliwa wanapatiwa matunzo na usaidizi kutoka kwa wadau wa operesheni za kibinadamu. MINUSCA pia imetuma timu ili kuzungumza zaidi na jamii.
Tanzania imetuma wachunguzi
Kwa mujibu wa Dujarric, “Mamlaka za Tanzania zimearifiwa rasmi na zimetuma maafisa wa uchunguzi wa kitaifa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati. Katika kuthibitisha dhamira yao ya kutovumilia kabisa unyanyasaji wa kijinsia na kingono, mamlaka za Tanzania zilibaini uzito wa tuhuma hizo na wamejitolea kuchukua hatua zinazohitajika kushughulikia masuala haya.”
Msemaji huyo amesema, “Kikosi kimehamishwa na kupelekwa katika kambi nyingine huku uchunguzi ukiendelea, na wahusika wa kitengo hicho wamezuiliwa kwenye kambi, hii ni kwa ajili ya kuwalinda waathirika na bila shaka uadilifu wa uchunguzi. Kikosi hicho kitarejeshwa nyumbani pindi ambapo uwepo wao hautahitajika tena kwa wachunguzi.”
Vilevile Dujarric ameeleza, “Uamuzi wa Sekretarieti kurudisha kikosi hiki ni kwa mujibu wa azimio namba 2272 la Baraza la Usalama, ambapo Baraza 'linaidhinisha uamuzi wa Katibu Mkuu wa kurudisha nyumbani kikosi fulani cha kijeshi au kuunda kitengo cha polisi cha kikosi wakati kuna ushahidi wa kuaminika wa unyanyasaji wa kingono ulioenea au wa kimfumo unaofanywa na kitengo hicho'.
Msemaji huyo wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, "Umoja wa Mataifa unasalia na nia ya kutekeleza kwa dhati sera ya Katibu Mkuu ya kutovumilia kabisa unyonyaji na unyanyasaji wa kijinsia."
=====
The United Nations will send home a unit of 60 Tanzanian peacekeepers over allegations of sexual exploitation and abuse in the Central African Republic, the UN announced on Friday.
A preliminary investigation found “credible evidence” that eleven members of the unit were involved in sexual exploitation and abuse of four victims, UN spokesman Stephane Dujarric said.
Two of the alleged victims are children, according to UN figures.
Investigators also identified a breakdown in commanders’ authority and management of staff, according to a press release by the UN’s mission in the country.
The victims have received care from humanitarian groups working with the UN, according to their “medical, psychosocial and protection” needs, it said.
The UN has had a mission in the conflict-torn Central African Republic since 2014, where thousands of peacekeepers have been deployed.
The eleven suspects had been working at a temporary base in the west of the country. The Tanzanian unit has now been relocated to another base and its members confined to the barracks.
“The unit will be repatriated once their presence is no longer required by the investigation,” Dujarric said.
Tanzanian authorities have also dispatched investigation officers to the Central African Republic.
There have been allegations of sexual abuse or exploitation against Tanzanian peacekeepers – largely in the Democratic Republic of Congo – every year since at least 2015, UN figures show.
Hii taswira mbaya sana kwa Jeshi letu.
Kagame huyu huyu au???Ingekuwa kwa kagame, hao wabakaji wa jwtz wangepata chs moto
Fake news11 Juni 202
Umoja wa Mataifa umetangaza kukirudisha nyumbani kikosi cha walinda amani 60 kutoka Tanzania waliokuwa Magharibi mwa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) kufuatia madai ya unyanyasaji wa kingono na dhulma.
Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric amewaambia waandishi wa habari kwamba uamuzi wa kukirudisha kikosi hicho nyumbani ulifanywa kufuatia mashauriano na ujumbe wa kulinda amani nchini CAR, MINUSCA.
"Uamuzi huo unawadia baada ya uchunguzi wa awali ambao ulipata ushahidi wa kuaminika kwamba wanachama 11 wa kitengo hicho walidaiwa kujihusisha na unyanyasaji wa kingono na kuwadhulumu waathiriwa wanne", Bw. Dujarric alisema.
Chanzo Taarifa: BBC SWAHILI NEWS
Mkiambiwa mna matatizo mnakasirika. Halafu tunawekana sawa mkisikia Kikosi cha Kulinda Amani cha nchi yoyote jua ya kwamba 98% huwa ni WANAJESHI na hizo 2% huwa ni kutokea katika Taasisi zingine hivyo kwa Tanzania ukisema tu WANAJESHI jua ni JWTZ ( wakiwemo wale MP wa Lugalo waliovalia Kininja ) waliowapiga RAIA wa Kawe hovyo Wiki iliyopita, Kuwajeruhi na Kuwatesa mno kwa Kosa tu lililofanywa na Mtu Mmoja.
Msinunie Mimi, ila Wanunieni BBC.
Fake news
.Mkiambiwa acheni kupenda Kuingiliwa hovyo Kusikotakiwa na Vitabu vya Mwenyezi Mungu ( Biblia na Quran ) ambako Unakupenda kwani kunawafanya si tu muwe ni Wapumbavu bali sasa mmekuwa kama Matahaira hamsikii.