Wanajeshi kupiga watu mtaani inakuwaje?

Wanajeshi kupiga watu mtaani inakuwaje?

Haya matukio ya raia kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasiojulikana hasa labda imetakea mwenzao kaibiwa, kaumizwa, kauliwa, nk.

Nimewahi shuhudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya Dar Kigamboni na Arusha.
Kwakuwa wengi wao wana D mbili tu za Form 4
 
Hiyo iliwahi kutokea miaka ya nyuma kijiji kimoja wanaita malatu juu kipo wilaya ya newala mkoani mtwara pale kijijini kulikuwa na kambi ya mafunzo ya mgambo wakaweka marufuku mbuzi wala ng'ombe asisogee maeneo yale akifika tu ni halali yao,siku moja mbuzi wa mzee fulani akaenda afande akaamrisha mgambo amchinje wamle nyama mgambo akakataa kwasababu hakuna asimyejua mwenye mbuzi ni mtu wa aina gani,afande akaamua achinje yeye kiukweli kufupisha stori huyo afande alikufa kifo cha hatari sasa siku ya kuzika sanduku linatetemeka yaani kama aliyopo ndani hajafa vile alikuja kuzikwa kabla ya muda uliopangwa ila alishaambiwa kuhusu yule mbuzi akatia kiburi
 
Haya matukio ya raia kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasiojulikana hasa labda imetakea mwenzao kaibiwa, kaumizwa, kauliwa, nk.

Nimewahi shuhudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya Dar Kigamboni na Arusha.
Hiki ulichoandika kimetokea wapi, hivi karibuni, ni wanajeshi walivalia sare au walevi wanaofanyia kazi jeshini wamepigana na walevi wenzao, tuache kuwapa tuhuma ambazo siyo za umma, mmekosana binafsi unakuja kuandika taasisi siyo kweli.
 
Sio wote Nina Wana kitambo depo hawako ivyo mwanajeshi ni mtu mpole sana ila GUSA unase Nina Wana wajeda nishawai Hadi kuwa KWENYE mahusiano na mwanamke mjeda bakabaka wanajeshi ni peacefully people sana ingawa mtu akiwa mshamba Kwa kuvaa gwanda ankuwa fala ila most of them they are peacefully wanna chezea sana tope na vumbi ila wanajeshi(jwtz)ni wapole wale ni watu wa gusa unase
Kama mwenzao amepigwa kwanini wasifanye uchunguzi wakamkamata mhusika?
Hii inaonesha hakuna vita ndiyo maana hawana sehemu ya kupunguza hasira. Waende kutoa msaada hata hapo kongo.
 
Povu la nini mkuu?!!kwani hao wenye vyeo kuanzia nyota moja kwenda juu hawakwenda depo?mbona ni waelewa sana kulinganisha na hao OYA OYA(Elimu ndogo hasa wenye form 4)?wanaoleta shida mtaani wote ni hao OYA OYA!!kwanini?ila wale wanaojitambua maafisa hawana hizo,hata akikosewa atatumia busara tu,kulimaliza tatizo!!siku moja nipo nasafiri nikawakuta njiani wa 2, wakataka lifti kwa nguvu yaani wapo kwenye geti la maliasili eti wamelifunga ili nisimame kwa nguvu!!nasimama namuuliza vipi anajibu tupe lift nikawaambia kwenda wapi?!!heee ananijibu unakoenda wewe tena kwa ukali kwani waliona nimekasilika,nikawaambia mbona mimi nimeshafika?!!wakati huo mmoja ameshapanda kwenye gari tayari!!!wakati huo geti wamelifungua gari nimeweka pembeni!!wakaanza vitisho mi niko kimya tu,jamaa akashuka,nikaenda kwenye hotel pembeni nikapata chakula,baadaye nikatia gia nikaondoka zangu.waliangalia kwa jicho hilo!!!Ule umwamba ndio ulinifanya nisiwape lifti!!!ELIMU,ELIMU!!Na huo ubabe sio kwa miaka hii,mbona wanafukuzwa sana kazi na kufungwa jela!!
Mimi sijui kuandika humu, ila wewe umenizidi, mtu mpaka asome maandishi yote afanye kazi,.
 
Povu la nini mkuu?!!kwani hao wenye vyeo kuanzia nyota moja kwenda juu hawakwenda depo?mbona ni waelewa sana kulinganisha na hao OYA OYA(Elimu ndogo hasa wenye form 4)?wanaoleta shida mtaani wote ni hao OYA OYA!!kwanini?ila wale wanaojitambua maafisa hawana hizo,hata akikosewa atatumia busara tu,kulimaliza tatizo!!siku moja nipo nasafiri nikawakuta njiani wa 2, wakataka lifti kwa nguvu yaani wapo kwenye geti la maliasili eti wamelifunga ili nisimame kwa nguvu!!nasimama namuuliza vipi anajibu tupe lift nikawaambia kwenda wapi?!!heee ananijibu unakoenda wewe tena kwa ukali kwani waliona nimekasilika,nikawaambia mbona mimi nimeshafika?!!wakati huo mmoja ameshapanda kwenye gari tayari!!!wakati huo geti wamelifungua gari nimeweka pembeni!!wakaanza vitisho mi niko kimya tu,jamaa akashuka,nikaenda kwenye hotel pembeni nikapata chakula,baadaye nikatia gia nikaondoka zangu.waliangalia kwa jicho hilo!!!Ule umwamba ndio ulinifanya nisiwape lifti!!!ELIMU,ELIMU!!Na huo ubabe sio kwa miaka hii,mbona wanafukuzwa sana kazi na kufungwa jela!!
Kwann wakufanye uteseke, ungesema sitoi lift tu
 
Kutokana na necha ya kazi ya jeshi, kupigwa kwa raia hakukwepeki.
 
Haya matukio ya raia kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasiojulikana hasa labda imetakea mwenzao kaibiwa, kaumizwa, kauliwa, nk.

Nimewahi shuhudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya Dar Kigamboni na Arusha.
Wanajeshi wa kupiga raia ama kuogopwa na raia sio hawa.
Tofauti ya mwanajeshi na raia ni bunduki tu zaidi ya hapo ni uoga na ujinga wako. Magwanda huwa hayapigani wala kukupatia nguvu za kupigana.

Zama za raia kuogopa magwanda ziliishia kipindi cha mkapa.

Sikuhizi wakizingua wanachapika sana tu
 
Nyie ni wapumbavu na wewe ulioandika hii QUATATION PIA NI MJINGA UNAWEZA KWENDA DEPO WEWE MPUMBAVU MJINGA UNAWEZA JE UNAWEZA?HESHIMU WATU USIONE MTU KAVA GWANDA HALFU UKAMCHUKULIA OYAOYA HUO NI UJINGA KAMA KUNA MPUMBAVU MMOJA USIWAITE WOTE WAPUMBAVU UTAKUJA KUJUTA WATU WAMESOTA HALAFU UNAWAITA WAPUMBAVU BE BRAVE NA KAMA WEWE BRAVE UNGEETA JESHINI MSIDHARAU WATU MTANYOOOSHWA
Kwa mwandiko tu huu, jambo krutaa!
 
Back
Top Bottom