Elections 2010 Wanajeshi kutoonekana kuanzia 28 Oktoba?

Elections 2010 Wanajeshi kutoonekana kuanzia 28 Oktoba?

Ibrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2007
Posts
2,730
Reaction score
530
Nilibahatika kuwapa lift Askari wawili wa JWTZ waliokuwa wanatoka kazini huko Monduli. Kwa kuwa kuna joto la Uchaguzi Wajeshi hao walikuwa na interest sana kujua tutampigia kura nani kwa Urais hapo 31 Oktoba. Rafiki yangu aliwajibu kuwa wao (Wanajeshi) ndiyo wenye hatma ya kuamua na sio wapiga kura maana hata tukimpigia kura mpinzani kama wao Wajeshi hawataki haitasaidia kitu.

Mjeshi mmoja wao akasema hakuna kitu kama hicho na kwao hakiwezekani. Ndipo yule rafiki yangu akajibu kuwa 'tutampa Dk Slaa'! Yule mwanajeshi akafurahi sana akasema ndiye anayefaa kuwa Rais maana Dk Slaa ndiye Rais wa Wanajeshi wa vyeo vya chini na Kikwete ni Rais wa wa Askari wanaoanzia na nyota moja! Alisema wao kama Askari wa chini wana malalamiko kuhusu maduka ya Free Duty ya Jeshi maana yanawafaidisha baadhi ya maofisa wa vyeo vya juu na hayana nafuu yoyote kwa Askari.

Mwenzake alitutahadharisha kuwa tusishangae kutowaoana Wanajeshi wa JWTZ ifikapo tarehe 28 Oktoba uraiani maana huenda wote wakamwa makambini; hata wanaoishi uraiani wataweka kambi Jeshini hadi baada ya Uchaguzi.

Hivyo Wadau, msishangae mtakapoona kuwa Askari wa JWTZ hawaonekani kuanzia tarehe hizo.
 
thanks for the info IBRA this info helps alot.........but is it true that they say kuwa wao wanatamani kumpigia Dr Slaa......inanipa moyo sanaaaa na ninafarijika kujua hilo ila kwa upande mwingine inanishtiua.....kwa kuwa naona kama wanaweza kuwa mashushu wa kijeshi wanatafuta info.....as i have heard wote wapo makambini tayari.....wakilishwa maji ya bendera
 
Nilibahatika kuwapa lift Askari wawili wa JWTZ waliokuwa wanatoka kazini huko Monduli. Kwa kuwa kuna joto la Uchaguzi Wajeshi hao walikuwa na interest sana kujua tutampigia kura nani kwa Urais hapo 31 Oktoba. Rafiki yangu aliwajibu kuwa wao (Wanajeshi) ndiyo wenye hatma ya kuamua na sio wapiga kura maana hata tukimpigia kura mpinzani kama wao Wajeshi hawataki haitasaidia kitu.

Mjeshi mmoja wao akasema hakuna kitu kama hicho na kwao hakiwezekani. Ndipo yule rafiki yangu akajibu kuwa 'tutampa Dk Slaa'! Yule mwanajeshi akafurahi sana akasema ndiye anayefaa kuwa Rais maana Dk Slaa ndiye Rais wa Wanajeshi wa vyeo vya chini na Kikwete ni Rais wa wa Askari wanaoanzia na nyota moja! Alisema wao kama Askari wa chini wana malalamiko kuhusu maduka ya Free Duty ya Jeshi maana yanawafaidisha baadhi ya maofisa wa vyeo vya juu na hayana nafuu yoyote kwa Askari.

Mwenzake alitutahadharisha kuwa tusishangae kutowaoana Wanajeshi wa JWTZ ifikapo tarehe 28 Oktoba uraiani maana huenda wote wakamwa makambini; hata wanaoishi uraiani wataweka kambi Jeshini hadi baada ya Uchaguzi.

Hivyo Wadau, msishangae mtakapoona kuwa Askari wa JWTZ hawaonekani kuanzia tarehe hizo.

Mtu yeyote mchambuzi wa mambo hapaswi kupuuza taarifa lakini katika uchambuzi huo idadi ya watu haitakiwa kuwakilisha watu wote. Hiyo sauti ya wanajeshi wawili isiwakilishe wanajeshi wote wa vyeo vya chini. Tutakuwa tunarudi kulekule ambako baadhi ya wanajamiiforums wanalalamika kwamba tafiti za REDET na Synovate zinachukua watu wachache ( 2000 au 2600) hivyo haziwakilishi wapigakura 19,000. Ni sawa na kukutana na wafanyakazi wawili wa bandari wakasema watamchagua kikwete kisha ukasema wafanyakazi wote wa bandari watamchagua kikwete.
 
Mtu yeyote mchambuzi wa mambo hapaswi kupuuza taarifa lakini katika uchambuzi huo idadi ya watu haitakiwa kuwakilisha watu wote. Hiyo sauti ya wanajeshi wawili isiwakilishe wanajeshi wote wa vyeo vya chini. Tutakuwa tunarudi kulekule ambako baadhi ya wanajamiiforums wanalalamika kwamba tafiti za REDET na Synovate zinachukua watu wachache ( 2000 au 2600) hivyo haziwakilishi wapigakura 19,000.

FM, kitu muhimu hapa ni kuwa kauli ya Shimbo isitutishe wananchi kwa JWTZ ni Jeshi la Wananchi na Wananchi wenyewe ndio sisi na wao JWTZ. Itakuwa jambo la kushangaza sana ikiwa JWTZ itaapambana na Wananchi kwenye zama hizi.
 
FM, kitu muhimu hapa ni kuwa kauli ya Shimbo isitutishe wananchi kwa JWTZ ni Jeshi la Wananchi na Wananchi wenyewe ndio sisi na wao JWTZ. Itakuwa jambo la kushangaza sana ikiwa JWTZ itaapambana na Wananchi kwenye zama hizi.

Kauli ya shimbo haitakiwi kututisha hasa kama ilitolewa kwa nia njema ya kulinda amani ya nchi na si vinginevyo.
 
Nilibahatika kuwapa lift Askari wawili wa JWTZ waliokuwa wanatoka kazini huko Monduli. Kwa kuwa kuna joto la Uchaguzi Wajeshi hao walikuwa na interest sana kujua tutampigia kura nani kwa Urais hapo 31 Oktoba. Rafiki yangu aliwajibu kuwa wao (Wanajeshi) ndiyo wenye hatma ya kuamua na sio wapiga kura maana hata tukimpigia kura mpinzani kama wao Wajeshi hawataki haitasaidia kitu.

Mjeshi mmoja wao akasema hakuna kitu kama hicho na kwao hakiwezekani. Ndipo yule rafiki yangu akajibu kuwa 'tutampa Dk Slaa'! Yule mwanajeshi akafurahi sana akasema ndiye anayefaa kuwa Rais maana Dk Slaa ndiye Rais wa Wanajeshi wa vyeo vya chini na Kikwete ni Rais wa wa Askari wanaoanzia na nyota moja! Alisema wao kama Askari wa chini wana malalamiko kuhusu maduka ya Free Duty ya Jeshi maana yanawafaidisha baadhi ya maofisa wa vyeo vya juu na hayana nafuu yoyote kwa Askari.

Mwenzake alitutahadharisha kuwa tusishangae kutowaoana Wanajeshi wa JWTZ ifikapo tarehe 28 Oktoba uraiani maana huenda wote wakamwa makambini; hata wanaoishi uraiani wataweka kambi Jeshini hadi baada ya Uchaguzi.

Hivyo Wadau, msishangae mtakapoona kuwa Askari wa JWTZ hawaonekani kuanzia tarehe hizo.

Najua habari kama hii inamchoma sana mtu kama malaria sugu.

Lakini ndiyo ukweli wenyewe.

Hata JK anajua.
 
Nilibahatika kuwapa lift Askari wawili wa JWTZ waliokuwa wanatoka kazini huko Monduli. Kwa kuwa kuna joto la Uchaguzi Wajeshi hao walikuwa na interest sana kujua tutampigia kura nani kwa Urais hapo 31 Oktoba. Rafiki yangu aliwajibu kuwa wao (Wanajeshi) ndiyo wenye hatma ya kuamua na sio wapiga kura maana hata tukimpigia kura mpinzani kama wao Wajeshi hawataki haitasaidia kitu.

Mjeshi mmoja wao akasema hakuna kitu kama hicho na kwao hakiwezekani. Ndipo yule rafiki yangu akajibu kuwa 'tutampa Dk Slaa'! Yule mwanajeshi akafurahi sana akasema ndiye anayefaa kuwa Rais maana Dk Slaa ndiye Rais wa Wanajeshi wa vyeo vya chini na Kikwete ni Rais wa wa Askari wanaoanzia na nyota moja! Alisema wao kama Askari wa chini wana malalamiko kuhusu maduka ya Free Duty ya Jeshi maana yanawafaidisha baadhi ya maofisa wa vyeo vya juu na hayana nafuu yoyote kwa Askari.

Mwenzake alitutahadharisha kuwa tusishangae kutowaoana Wanajeshi wa JWTZ ifikapo tarehe 28 Oktoba uraiani maana huenda wote wakamwa makambini; hata wanaoishi uraiani wataweka kambi Jeshini hadi baada ya Uchaguzi.

Hivyo Wadau, msishangae mtakapoona kuwa Askari wa JWTZ hawaonekani kuanzia tarehe hizo.

Kipindi hiki kila mwananchi anafanya utafiti binafsi, usije furahia kauli ya wanajeshi hao kumbe na wao walitumia mbinu ya kijeshi kwamba kama unataka kupata taarifa wakati mwingine unatakiwa kuwa sehemu ya adui yako. Kama unataka kupata habari sahihi za kupendwa kwa kikwete jifanye ni mkereketwa wa Dr Slaa na ukitaka kupata za Dr Slaa jifanye mkereketwa wa Kikwete. Huu ni utafiti mzuri usiowaongoza watu kwenye jibu linalohitajika. Usikute wanajeshi hao walikuwa kwenye utafiti wa kupata ishara za awali za kukubalika kwa wagombea wa urais lakini wewe ukadhani wanamtaka Dr Slaa.
 
Kipindi hiki kila mwananchi anafanya utafiti binafsi, usije furahia kauli ya wanajeshi hao kumbe na wao walitumia mbinu ya kijeshi kwamba kama unataka kupata taarifa wakati mwingine unatakiwa kuwa sehemu ya adui yako. Kama unataka kupata habari sahihi za kupendwa kwa kikwete jifanye ni mkereketwa wa Dr Slaa na ukitaka kupata za Dr Slaa jifanye mkereketwa wa Kikwete. Huu ni utafiti mzuri usiowaongoza watu kwenye jibu linalohitajika. Usikute wanajeshi hao walikuwa kwenye utafiti wa kupata ishara za awali za kukubalika kwa wagombea wa urais lakini wewe ukadhani wanamtaka Dr Slaa.

crap
 
Kama vile hii stori umeikatiza njiani bana, hii tamu sana hii....kwa kweli napenda kuona wanajeshi wenye mtazamo tofauti na sio huu wa kutishana.

Congrats
 
Huyu Askari huyu hana nidhamu, hajaiva bado anatoa siri za Gesi kwa Raia, AROO!.
 
Nadhani kama ni tetesi ni nzuri kuifanyia kazi na wala haina ubaya wowote either kama ilikuwa ya Kishushu au ya kiukweli. Ila tu mie naipokea kwa mitazamo miwili;

1. Inawezekana kabisa ikawa ni muendelezo wa ile mipango ya Shimbo, kuwatisha raia, ikiwa kama kweli Wanajeshi wote hata wanaoishi uraiani, watarudishwa kambini, hofu inawezakujitokeza kwa baadhi yetu, kwani tutaambiwa hao wamepelekwa kwenda kujiandaa na vurugu kama sio vita. Sasa hali kama hiyo kwa watanzania tuliowengi, inaweza kututisha. Ingawa binafsi sitakuwa na wasiwasi wowote.

2. Inawezekana kweli kabisa kuwa Wanajeshi pia wamechoka, jamani si huwa tunasikia watu wameasi? kwa jinsi walivyojieleza hao wajeshi, mie sioni kama kweli hawajaiva na kwamba wanatakiwa wasitoe siri za jeshi. Ukweli ni kwamba wamechoka na kwamba wanafahamu kabisa kuwa raia wema si adui ila ni wapiganaji kama wao ktk vita hii ya uchaguzi. La muhimu nikujaribu kuwaelimisha watanzania wenzetu kuto iogopa hali hiyo in case inatokea.

Mwisho kama ndivyo hali ilivyo huko Makambini basi hapo hali inogile.
 
Mjeshi mmoja wao akasema hakuna kitu kama hicho na kwao hakiwezekani. Ndipo yule rafiki yangu akajibu kuwa 'tutampa Dk Slaa'! Yule mwanajeshi akafurahi sana akasema ndiye anayefaa kuwa Rais maana Dk Slaa ndiye Rais wa Wanajeshi wa vyeo vya chini na Kikwete ni Rais wa wa Askari wanaoanzia na nyota moja! Alisema wao kama Askari wa chini wana malalamiko kuhusu maduka ya Free Duty ya Jeshi maana yanawafaidisha baadhi ya maofisa wa vyeo vya juu na hayana nafuu yoyote kwa Askari.

JK nusuru taifa jitoe bila zengwe tutakukumbuka kwa hilo lakini hayo mengineyo unayoyatafuta ujue utakwama. Hayana baraka ya Mwenyezi Mungu
 
we subiri.tutawavunja miguu,mumeanza kulidharau Jeshi nyie.Hili Rinchi ovyo kabisa maraia yameanza kutukana majeshi tutawafunja miguu yenu hiyo.. mbafuuuu.
 
Mara nyingi hata MAASI ya KIJESHI yakitokea, ni hawa wa vyeo vya chini huwa wanafanya.

Hawa Maafisa wa JESHI mara nyingi huwa MATAWI na wako juu kabisa wanakula kuku zao.

Ni hawa Maafisa wasio na nyota kurudi chini ndiyo wana-Vumilia Vumbi Vichakani.
 
Kipindi hiki kila mwananchi anafanya utafiti binafsi, usije furahia kauli ya wanajeshi hao kumbe na wao walitumia mbinu ya kijeshi kwamba kama unataka kupata taarifa wakati mwingine unatakiwa kuwa sehemu ya adui yako. Kama unataka kupata habari sahihi za kupendwa kwa kikwete jifanye ni mkereketwa wa Dr Slaa na ukitaka kupata za Dr Slaa jifanye mkereketwa wa Kikwete. Huu ni utafiti mzuri usiowaongoza watu kwenye jibu linalohitajika. Usikute wanajeshi hao walikuwa kwenye utafiti wa kupata ishara za awali za kukubalika kwa wagombea wa urais lakini wewe ukadhani wanamtaka Dr Slaa.

Nimependa tahadhari yako! Nilitaka niandike Aisee Una Akili wewe, nikaona labda utafikiri nakutusi, but you just made a very important observation, not everything you hear means what you hear!
 
Hivi ndugu zangu mnadhani wanajeshi wanatoka mbinguni??? Si wanatoka miongoni mwetu wananchi na tunaishi nao maisha ya kawaida!! Kama ni karaha na shida inayosababishwa na uongozi mbovu wa kikwete nao pia wanaipata. Sasa kwa nini wao wanajeshi wasimpigie debe mgombea anayeonekana atawaondolea shida zao. Mimi ninaamini kabisa kwamba asilimia kubwa ya wanajeshi, polisi na magereza watakuwa wamechoshwa na uongozi wa kisanii wa kikwete kwani nao ni sehemu ya watanzania. Kwa taarifa yenu ndugu zangu hata usalama wa taifa ukiondoa wakubwa wanaofaidika, nao wamechoka sana ndiyo maana performance ya rais ni hovyo kuliko marais wote walioongoza nchi hii.

Haki ya watanzania mwaka huu italindwa na Mungu mwenyewe. Hata ccm ikifanya mbinu za aina gani lazima iabike mwaka huu kwani imewanyanyasa watanzania kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom