Wanajeshi na Askari mnatumia nini kuzuia ndevu na vipele?

Wanajeshi na Askari mnatumia nini kuzuia ndevu na vipele?

pureman2

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
1,494
Reaction score
2,540
Moja kwa moja kwenye hoja,

Mimi ni miongoni mwa wasiyopenda ndevu kabisa. Nikitoa ndevu naonekana nadhifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.

Utaratibu wangu ni kunyoa mara moja kwa wiki na inanighalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya wiki lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.

Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo ninayoyataka, nikawa natumia mashine, lakini hakuna mabadiliko yoyote.

Lakini wanajeshi na askari kwa matakwa ya taaluma yao huwa hawafugi ndevu na mara zote wako nadhifu. Ebu wakuu tusaidieni videkozo vya namna ya kunyoa ndevu na kuepuka kutokea vipele.

Karibuni.
 
Tumia poda pia nyoa baada ya siku nne tu ...nakuhahakikishia kidevu kitakuwa Kama Cha mtoto mchanga.
 
Direct kwenye hoja

Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.

Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.

Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.


But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.

Karibuni
Tumia aftershave lotion
 
Kama una ngozi laini sana pia tumia prosaso,hii kwa soft soft inawafaa
 
Back
Top Bottom