Direct kwenye hoja
Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.
Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.
Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.
But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.
Karibuni