Wanajeshi na Askari mnatumia nini kuzuia ndevu na vipele?

Wanajeshi na Askari mnatumia nini kuzuia ndevu na vipele?

Unanyoa ndevu unaosha kidevu kama unaosha Embe hhhhhhh
 
Kweli maisha ni tofauti, mimi natamani niwe na ndevu sipati
 
Mkuu umewahi kuona Mmasai ana ndevu?

Huenda wakawa na solution.
 
Wanatumia unga wa risasi kupaka kidevuni kama After Shving
 
Direct kwenye hoja

Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.

Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.

Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.


But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.

Karibuni
Wananyoa, mara mbili kwa wiki.
 
Direct kwenye hoja

Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.

Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.

Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.


But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.

Karibuni
Wanateseka Sana usiwaone videvu vyeupe .waulize wenye saloon karibu na kambi zao utaambiwa wananyoa mpaka Kwa mkopo maana ukikutwa na ndevu unapewa Lindo ndo kama sio zamu yako
 
Direct kwenye hoja

Mimi ni miongoni mwa wasiopenda ndevu kabisaa. Nikitoa ndevu naonekana nazifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.

Utaratibu wangu ni kunyoa mara Moja Kwa week na inanigalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya week lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.

Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo nayoyataka nikawa natumia mashine but no any improvement.


But wanajeshi na askali Kwa matakwa ya taaluma Yao huwa hawafugi ndevu na always wako smart. Ebu wakuu tusaidieni hints za namna ya kunyoa ndevu na kuhepuka kutokea vipele.

Karibuni
MAJI YA BETRI
 
Piga mvuke uso wako tumia wembe mpya kunyoa.
Jua uelekeo wa ndevu zako.
Usitumie nguvu kabisaa wakati wa kunyoa fanya km unafuta.
Paka sabuni yoyote acha ikauke
Osha kwa maji vuguvugu.
Interval ya kunyoa izingatiwe ili kuondoa kulazimisha.
•Inategemea na asili ya ngozi yk.
 
Tumia shaving cream, poda au majivu. Hakikisha huna kipele na uoakaze kidevuni kabla hujanyoa, yaani hivyo vitu ukitumia huoni upele
 
Back
Top Bottom