Wanajeshi na Askari mnatumia nini kuzuia ndevu na vipele?

Wanajeshi na Askari mnatumia nini kuzuia ndevu na vipele?

Ukimaliza kunyoa fanyiwa scrub hutakuja kuona hicho kipele hata moja na mm ilikuwa ivyo mwanzoni
 
Vipele vya ndevu havina dawa! Dawa ni kunyoa kwa time interval fupi siku 3 au 4 nyoa utaja kushukuru bdae
 
Moja kwa moja kwenye hoja,

Mimi ni miongoni mwa wasiyopenda ndevu kabisa. Nikitoa ndevu naonekana nadhifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.

Utaratibu wangu ni kunyoa mara moja kwa wiki na inanighalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya wiki lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.

Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo ninayoyataka, nikawa natumia mashine, lakini hakuna mabadiliko yoyote.

Lakini wanajeshi na askari kwa matakwa ya taaluma yao huwa hawafugi ndevu na mara zote wako nadhifu. Ebu wakuu tusaidieni videkozo vya namna ya kunyoa ndevu na kuepuka kutokea vipele.

Karibuni.
Mashine yako binafsi?? Mashine hazitoi vipele kwa wengi..
 
Kwenye uso,mikono,miguu. Unatumia na inaondoa kila kitu na kubaki bila unywele

Kwa bibi usitumie those chemicals na kwa bibi hazifai kabisa pia hiyo ngozi ya kwa bibi laini sana maana inaweza kukubabua ukabaki na vidonda
Wanauza wapi? Hebu elekeza vizuri.
 
Ukiona mtu/Kijana ananyoa ndevu zote huyo ana Indicator za uchokoo
 
Ukiona mtu/Kijana ananyoa ndevu zote huyo ana Indicator za uchokoo
Wewe baso mdogo ndiyo kwanza unaanza kuota ndevu ndiyo maana unaona wengine wanaonyoa maboya, ngoja umri uende na ufike mahali zinakukera au una kazi isiyotaka uwe nazo
 
Moja kwa moja kwenye hoja,

Mimi ni miongoni mwa wasiyopenda ndevu kabisa. Nikitoa ndevu naonekana nadhifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.

Utaratibu wangu ni kunyoa mara moja kwa wiki na inanighalimu sana na inanipotezea muda. Hata hivyo, ndani ya wiki lazima ndevu ziote na kuchoma na kutoa vipele.

Mwanzo nilikua natumia nyembe nikaona sipati matokeo ninayoyataka, nikawa natumia mashine, lakini hakuna mabadiliko yoyote.

Lakini wanajeshi na askari kwa matakwa ya taaluma yao huwa hawafugi ndevu na mara zote wako nadhifu. Ebu wakuu tusaidieni videkozo vya namna ya kunyoa ndevu na kuepuka kutokea vipele.

Karibuni.
Huwa tunatumia mafuta ya taa!
 
Back
Top Bottom